Birds, So Cute

Kwa ujumla ndege wana faida nyingi sana kwa binadamu na viumbe wengine
 
Hahahaa Mpwa mie hata simo mwaya, ila hebu soma Amavubi alichokiandika hapa hhahahahaaaa Amavubi acha uchokozi kwa Mpwa wangu bhana, umeshasahau kuwa mwisho wa dunia na Ulimwengu ni leo usiku..nimeshamuomba boss wangu salary yangu kabisaaaaa
Mpwa uchokozi huo!

Hata mimi nimekukubali MANI
 
Last edited by a moderator:
Hahahaa Mpwa mie hata simo mwaya, ila hebu soma Amavubi alichokiandika hapa hhahahahaaaa Amavubi acha uchokozi kwa Mpwa wangu bhana, umeshasahau kuwa mwisho wa dunia na Ulimwengu ni leo usiku..nimeshamuomba boss wangu salary yangu kabisaaaaa
Ellli, basi ngoja nichukue jembe nikalime......................
 
Hahahaa Mpwa mie hata simo mwaya, ila hebu soma Amavubi alichokiandika hapa hhahahahaaaa Amavubi acha uchokozi kwa Mpwa wangu bhana, umeshasahau kuwa mwisho wa dunia na Ulimwengu ni leo usiku..nimeshamuomba boss wangu salary yangu kabisaaaaa

Mwe mpwa hivi leo ndio ile tarehe ya mwisho ngoja nami nikakombe changu kabla sijafa !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…