Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
shkamoo babu! Kwanza hayo mashairi unaenda kuwatungia wapi, muda gani na wapo wajukuu wangapi na wenye umri gani? Chance ya kupewa ruhusa itategemea na majibu ya hayo maswali.
Wajukuuu si ni hawa hawa akina Hus, Kipipi na n.k, n.k
Kwani umri wa mjukuu ni tatizo?
Bibi si anajua tu kwamba, kwa idhini ya mila za Mababu na Bibi, ni lazima Babu acheze na wajukuu?
Sasa unadhani ruhusa atatoa? If not, lile zoezi pendwa la AshaDii watalifanya akina nani??
Babu DC!!