MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 9,314
- 25,453
Niko nyuma yako kukulinda kwa lolote ikiwa kuna vuguvugu la mapigano au majibishano yatayojqribu kujitokeza
Niko nyuma yako kukulinda kwa lolote ikiwa kuna vuguvugu la mapigano au majibishano yatayojqribu kujitokeza
Anaonyesha msisitizo. 😂😂Vingeredha😬
Halafu picha zenyewe ni zile nyeusi 😂.Babu yangu akipata kunisimulia mambo mengi ya mzee Nyerere ila nilipokuwa mkubwa nikajua wazee wa zamani si wakuamini sana .
Alikuwa na picha kadha wa kadha na baba wa taifa ila hiyo picha moja usipoaga kuwa unaondoka basi mtamaliza siku nzima kibarazani anakupa matukio hata mia ya hiyo picha .
Seleina, umesoma mpaka kidato cha ngapi? na unafanya shughuli gani?She makes the forum to be on good mood.Her love stories are perfect and amazing.I am always bored when his not around.I like thread she normally posting on the forum.
If she why his? And what was this ".I am always bored when his not around.IShe makes the forum to be on good mood.Her love stories are perfect and amazing.I am always bored when his not around.I like thread she normally posting on the forum.
Ahsante sana Mkuu.Niko nyuma yako kukulinda kwa lolote ikiwa kuna vuguvugu la mapigano au majibishano yatayojqribu kujitokeza
Ukiona maswali ya hivi ujue binti wa zamani ni mtu mkubwa sana yaani huko serikalini
Namsemea ni mwalimu wa ingilishi
I'm here bibie, kukuwa tu Kenya for just one week umeshaanza kuniita techa wa English, seriously!
Asante kwa kuniita mpwa, naona naanzishiwa mada ila kunitag wanaogopa!
Unapendwa 😂Asante kwa kuniita mpwa, naona naanzishiwa mada ila kunitag wanaogopa!
Acha tu, ni kamzozo 🤣🤣🤣
Hahahaaa. Hapo unasifiwa Mumy hayo mengine ni makosa madogo madogo ya kiuandishi + uelewa juu ya matumizi ya alama na hiyo lugha ya watu iliyokujaga na meli. 😅😅Acha tu, ni kamzozo 🤣🤣🤣
Ila picha linaanza title ina ❓hata sijaelewa nasifiwa au nimewekewa mtego wa kuchambwa 😅
Bora nawewe umefikiwa uione joto ya jiwe tu 🤣
Haya hua ni maswali ya Mishangazi,Ukiona maswali ya hivi ujue binti wa zamani ni mtu mkubwa sana yaani huko serikalini
Huu uzi bila Chizi Maarifa na Chizi Maarifer kutia neno utakua batiriI am always bored when his not around.I like thread she normally posting on the forum.