Well said MkuuAll the best binti.
Kikubwa nachoweza kukusaidia mimi ni kukukumbusha kuwa makini na matapeli na mabazazi.
AsanteAll the best binti.
Kikubwa nachoweza kukusaidia mimi ni kukukumbusha kuwa makini na matapeli na mabazazi.
Asante mkuuEpuka matapeli mjini. Kuwa macho ktk utafutaji na upatikanaji wa hiyo kazi
Asante
Hii kazi ni ya uongo haipoMhudumu wa Hotel anahitajika
Salam..nahitaji mhudumu wa hotel sio lazma awe amesomea hotel management au hotelier lakini awe na uzoefu wa kazi kwa: 1. Kuserve wateja chakula na vinywaji 2. Kufanya House keeping 3. Usafi wa jumla 4. Akiwa na uzoefu wa kupika ni bora pia Hotel ipo Morogoro Mjini na sehemu ya kulala kwa...www.jamiiforums.com
Hii ni uongo bossMhudumu wa Hotel anahitajika
Salam..nahitaji mhudumu wa hotel sio lazma awe amesomea hotel management au hotelier lakini awe na uzoefu wa kazi kwa: 1. Kuserve wateja chakula na vinywaji 2. Kufanya House keeping 3. Usafi wa jumla 4. Akiwa na uzoefu wa kupika ni bora pia Hotel ipo Morogoro Mjini na sehemu ya kulala kwa...www.jamiiforums.com
Ngoja mameneja wakupe msaadaPoleni na majukumu
Binti wa miaka 24 anatafuta kazi hotelini
Vitengo anavyoweza ni
Waitress
Housekeeping
Reception
Amesomea na anauzoefu na vitengo hvyo yupo Kibaha ila popote yupo tayari kwenda kufanya kazi asanteni 🙏
nikikupa 20,000 utaifanyia nini ?Asante mkuu
Kuna member alipost hapa jukwaani juzi idea nzuri sana ya kujiajiri kufanya usafi kwa kianzio cha elfu 50 tu. Kama wewe ni mwaminifu jaribu hiyo.Poleni na majukumu
Binti wa miaka 24 anatafuta kazi hotelini
Vitengo anavyoweza ni
Waitress
Housekeeping
Reception
Amesomea na anauzoefu na vitengo hvyo yupo Kibaha ila popote yupo tayari kwenda kufanya kazi asanteni