Binti wa miaka 22, nimemkuta na bikra

Binti wa miaka 22, nimemkuta na bikra

Hili swala Kiukweli limenishangaza sana kumkuta binti wa miaka 22 akiwa Ana bikra, kwani wakati namgegeda nilishuhudia damu.
Napenda kuuliza je,kwa umri huu ni kweli ilikuwa bikra au ya kuforge?

Haaa cha ajabu nini sasa....wanaojitunza wapo sio km hawapo..mbona mimi nilitoa .nikiwa na 23 years..nilikua buusy na shule..sitaki kusikia habari hizo....lol..
 
HIVI MAMODS MADA ZINGINE KAMA HIZI MNAZIWEKA ZA NINI NAYO NI MADA YA KUELIMISHA, KUJENGA HII KAMA SIO KUBOMOA MAMODS WAKATI WENGINE KUWENI KIDOGO SERIOUS SIO KILA MADA YAFAA KULETA HAPA VITU IVINGINE VYA KITOTO KWELI UTAFIKIRI TUKO FB? FOUNDER UKO WAPIIII?


JUKWAA LISHAINGILIWA HILI :tonguez:
 
Ni kweli usemayo mkuu watoto wetu wa siku hizi wakibarehe tu wao wanachojua ni kuchojoa nguo kwa kila wanayemuona wanadhani ni kwenda na fashion kumbe wanajitumbikiza katika dhambi, na matatizo kabisa siku heshima ya mwanamke imepotea kabisa yaani sijui tufanye nini na watoto wetu
hao walizaliwa nazo
 
Ni kweli usemayo mkuu watoto wetu wa siku hizi wakibarehe tu wao wanachojua ni kuchojoa nguo kwa kila wanayemuona wanadhani ni kwenda na fashion kumbe wanajitumbikiza katika dhambi, na matatizo kabisa siku heshima ya mwanamke imepotea kabisa yaani sijui tufanye nini na watoto wetu

yaani kizazi kijacho ndio sipati picha kitakuaje... dawa ni kuzungumza nao tu bila aibu hakuna kuwaficha unawaeleza vipi wanatakiwa kuishi.. ukaribu kati ya mzazi na mwana ndio jambo la msingi.
 
so umekuja kutupa taaarif au cjaona maana yakuja kusema hapa mapenz ni ya wa2 wawil cdhan kama inatuhusu
 
ni kweli ndugu yangu maana bila hivyo tunaawapoteza kabisa

tatizo la watoto wetu wanaiga sana mambo ya magharibi wanaona bila kufanya hivyo watakuwa washamba
kumbe hamna kitu wanajidanganya kabisa, wanawatolea mambo yao hawajajui kuwa huko ni kwa mtu mmoja tu yaani mumewe atakayeolewa naye ndo muhimu na heshma kubwa sana


mm nasikitika sana hichi kizazi kimepotea kabisa
yaani kizazi kijacho ndio sipati picha kitakuaje... dawa ni kuzungumza nao tu bila aibu hakuna kuwaficha unawaeleza vipi wanatakiwa kuishi.. ukaribu kati ya mzazi na mwana ndio jambo la msingi.
 
Back
Top Bottom