Binti wa miaka 22, nimemkuta na bikra

Binti wa miaka 22, nimemkuta na bikra

Wapo watu wanazo bikira usiwe na mawazo negative hivyo wewe mbona mimi nimemtoa bikra mtu ana miaka 26 hakuwahi kugegedwa kabisa na amemaliza Chuo Kikuu
 
Thread za siku hizi humu JF zinataka ujitoe akili ndipo uchangie......sasa mkuu bikra uitoe wewe (kama kweli bikra)..damu uzione wewe....kuthibitisha tuthibitishe sie....kweli ni haki....hiyo ???......huoni kwamba unatutoa akili watu wazima na vipara vyetu......????....hayo maswali yako majibu anayo huyo huyo uliyemtoa damu....HESHIMU HII FORUM NI MAGREAT THINKER.....
 
Hakuna ajabu hapo, mimi nimekutana na binti wa miaka 24, ana bikra yake..but nimeogopa kum-do maana sitomuoa na yeye ananipenda na anataka nimuoe, ila mm binafsi najua sitoweza! Na juzi kaniambia ameshindwa kuvumilia kwa jinsi anavyonipenda nim-do, but stil nahofia maana najua lengo lake ni tofauti na langu!

Acha kumnyanyasa, hebu nenda ukamlabue mwenzako.
Maisha yenyewe mafupi haya halafu unamnyima mwenzako utamu, dah!
 
Hili swala Kiukweli limenishangaza sana kumkuta binti wa miaka 22 akiwa Ana bikra, kwani wakati namgegeda nilishuhudia damu.
Napenda kuuliza je,kwa umri huu ni kweli ilikuwa bikra au ya kuforge?

Kashangae baharini samaki wanaoga bila sabuni!! usifikiri watu wote wazinifu kama wewe,wengine tunamwogopa Mungu! Nini cha ajabu mtu kuwa bikra?? Ebo!!
 
Kashangae baharini samaki wanaoga bila sabuni!! usifikiri watu wote wazinifu kama wewe,wengine tunamwogopa Mungu! Nini cha ajabu mtu kuwa bikra?? Ebo!!

Akashangae mitumbani huko nguo zimeanikwa bila kufuliwa
 
Hili swala Kiukweli limenishangaza sana kumkuta binti wa miaka 22 akiwa Ana bikra, kwani wakati namgegeda nilishuhudia damu.
Napenda kuuliza je,kwa umri huu ni kweli ilikuwa bikra au ya kuforge?

na wewe alikukutaje?
 
Hakuna ajabu hapo, mimi nimekutana na binti wa miaka 24, ana bikra yake..but nimeogopa kum-do maana sitomuoa na yeye ananipenda na anataka nimuoe, ila mm binafsi najua sitoweza! Na juzi kaniambia ameshindwa kuvumilia kwa jinsi anavyonipenda nim-do, but stil nahofia maana najua lengo lake ni tofauti na langu!
Naomba namba yake nimpeleke interview ya polisi indonesia
 
Hakuna ajabu hapo, mimi nimekutana na binti wa miaka 24, ana bikra yake..but nimeogopa kum-do maana sitomuoa na yeye ananipenda na anataka nimuoe, ila mm binafsi najua sitoweza! Na juzi kaniambia ameshindwa kuvumilia kwa jinsi anavyonipenda nim-do, but stil nahofia maana najua lengo lake ni tofauti na langu!

ama kweli kwenye maisha hatuwezi kufanana kuna watu kitaani daily wanapiga puchu we unaikimbia mbunye tena ni sealed!?au mwenzetu we ni MTOTO HUYU VIPI
 
Wewe ukiona damu hata kama alikuwa kwenye siku zake unadhani bikra. Pole yako
 
Back
Top Bottom