Binti wa miaka 22, nimemkuta na bikra

Binti wa miaka 22, nimemkuta na bikra

Hili swala Kiukweli limenishangaza sana kumkuta binti wa miaka 22 akiwa Ana bikra, kwani wakati namgegeda nilishuhudia damu.
Napenda kuuliza je,kwa umri huu ni kweli ilikuwa bikra au ya kuforge?
Haaa haa kuna bikra za kuforge kama,tena bei poa,kwanzia elfu1 hadi laki 1 kwa wapemba kariakoo poleni wakaka si mnajifanya wajanja ni kuibiwa tu kwa sana, si bikra tu hata kufanya uke uwe tait
 
kununua gari japan ghali sana sisi wazee wa dubai nyie mnaotaka japan endeleeni kuumizwa.
 
hiyo sio bikr alikuwa anaanza period. Coz kwa maelezo yako haujamkuta bikr huyo pia ww bikr haujawahi kutana nayo. Kutoa bikr ni mkimkiki haswa.
 
kwanini watu hamna hofu ya mungu? kutwa mnawaza uzinzi na uasherati tu. au mmesahau kwamba siku moja waovu wataangamizwa?

si waschana si wavulana kutwa ni kufikiria uzinzi bila aibu, jitu linathubutu hadi kupost jamiiforums ushenzi wake. kumbuka kila kinachotokea mungu anakiona.

ktk maisha yako hujawahi kuzini? mtu akijitokeza ktk jamii kwa maswala haya eti mnakemea. je wewe unayekufa nayo rohoni??
 
na wewe ulikuwa bikra au ulikuwa umeshatumika mbona hujasema
 
Katika maisha ya leo kumkuta msichana bikr ni bonge la issue na pili kutoa bikr ni nomaaa xana uciombe ndugu,,,,,,,!!!!!!labda ulimkuta kwenye period
 
Inashangaza sana,ss cku nyengine unaweza kumkuta wa 40 ana bikra utafanyaje,ninachosema cha ajabu ni kipi haswa;
 
Ama kwa kua dada zako hawakuzitunza bikra zao,ukadhaia ni wote..acha USHAMBA kaka.
 
Kwanza inaraha gani iyo bikra tumuulize,maana pale mwalimu wewe,mtu hata romance ajui,kumvua nguo kwa mbinde,kukatika ndokabisa hajui mmmmmh kisha utoe midamu raha yake hapo iwapi? teh teh teh

Ahhhhaaa
 
Mbona mimi wangu nimekuta ana bikra tena ya miaka 23 na imepitia udsm mpaka kumaliza banchor nkavunja ww unashangaa hiyo ya kwao tena umasaini
 
Bikra zipo banana... wala si ajab .. zipo za kutosha tu za umri huo hata zaidi
 
Back
Top Bottom