Umeshawahi kumuuliza mama'ko hilo swali? kama bado, nakushauri anza kumuuliza uje na jibu hapa.
Hili swala Kiukweli limenishangaza sana kumkuta binti wa miaka 22 akiwa Ana bikra, kwani wakati namgegeda nilishuhudia damu.
Napenda kuuliza je,kwa umri huu ni kweli ilikuwa bikra au ya kuforge?
ni kweli ndugu yangu maana bila hivyo tunaawapoteza kabisa
tatizo la watoto wetu wanaiga sana mambo ya magharibi wanaona bila kufanya hivyo watakuwa washamba
kumbe hamna kitu wanajidanganya kabisa, wanawatolea mambo yao hawajajui kuwa huko ni kwa mtu mmoja tu yaani mumewe atakayeolewa naye ndo muhimu na heshma kubwa sana
mm nasikitika sana hichi kizazi kimepotea kabisa
mbon mm nina 23na bado bk!
naomba mimi niwe wa kwanza na wa mwisho...
Kilichokushangaza kipi??? Basi mlete makumbusho ya taifa
Hahahahaha!!Duh!!Nimecheka sana aiseeeeeeee
hahahahahahahhah ngoja mimi nitanguliwe nilitolewa Bikira nikiwa na 25 :A S embarassed:
Kawaida sana hiyo mpk 30 yrs wapo! Ningeshangaa kama ungekuwa unatoa ushuhuda kuwa Malia wa Barack Obama bado bikra. Ila mimba imethibitishwa tumboni mwake!
hahahaha! penda sana hii
Mbona wapo hata me nimeitotoa January mwaka huu nikiwa na 23years