Binti nimpendae anataka hela tu

we mwambie huna kama kakupendea hela utajua
 
Asanteh kwa kutambua umuhimu wangu baby, Miller anakubishia tuu lakini kimoyomoyo anakubaliana na ile statement yako ya kwanza.
 
Thubutuuu!!! Tunawasaidia kuspend ili muamke mzitafute zaidi. Ndio uanaume huo.
Hahaha wanawake mnakuwaga mnatumia ishu za uanaume kwenye mambo ya pesa na ulinzi. Kwenye mengine utaskia usawaaa usawaaa 50 kwa 50 sjui.
You guys are manipulative
.

Uzuri mi wangu ana nisaidia kuzisaka and am okey watakoma hao wengine.
 
Mwambie zile za Dr Shika zimeshafika... akawahi foleni kwa sababu ni mtonyo mrefu anaweza kuhesabu asubuhi hadi jioni wiki nzima na asimalize na ni USD si za madafu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…