Binti mzuri na mcharikaji anapatikana for 7 7 tradefair

kindili kindili

JF-Expert Member
May 27, 2013
242
54
Je una biashara yako utaonyesha au unataka kuiuza msimu huu wa 7 7 2016? Binti mzuri, mchakarikaji, machachari, mchangamfu na mwenye muonekano mzuri anapatikana kwa ajiri ya kukutangazia biashara yako,Anaweza kuongea vizuri na kushawishi wateja, ana uwezo mzur wa kujibu kwa ufasaha, anaweza kuongoza watu wakafanya kazi ya kusambaza taarifa za bidhaa, anaweza kutumia mic au kutotumia... hutajuta!! kwa masasiliano please pm

Karibuni
 
Kila la kheri. Umenikumbusha kuna binti mmoja alikuwa anafanya kazi kampuni fulani kama receptionist. Sasa akapata dili nono la saba saba. Ikabidi aombe ED ofisini kuwa anaumwa for a week apumzike. Sasa akaenda kufanya kazi kule saba saba. Maonesho yalivyoanza bosi wake akawa anatembelea mambanda na akamkuta anadunda mzigo kama kawa. Bosi alimaind mbaya kwa nin binti kadanganya, na akampiga chini jumla jumla... Yani binti akapoteza dafu kwa kisa cha embe tunda la msimu...
 
Kila la kheri. Umenikumbusha kuna binti mmoja alikuwa anafanya kazi kampuni fulani kama receptionist. Sasa akapata dili nono la saba saba. Ikabidi aombe ED ofisini kuwa anaumwa for a week apumzike. Sasa akaenda kufanya kazi kule saba saba. Maonesho yalivyoanza bosi wake akawa anatembelea mambanda na akamkuta anadunda mzigo kama kawa. Bosi alimaind mbaya kwa nin binti kadanganya, na akampiga chini jumla jumla... Yani binti akapoteza dafu kwa kisa cha embe tunda la msimu...
Huyo binti alikuwa zwazwa aliyetukuka!
 
Kila la kheri. Umenikumbusha kuna binti mmoja alikuwa anafanya kazi kampuni fulani kama receptionist. Sasa akapata dili nono la saba saba. Ikabidi aombe ED ofisini kuwa anaumwa for a week apumzike. Sasa akaenda kufanya kazi kule saba saba. Maonesho yalivyoanza bosi wake akawa anatembelea mambanda na akamkuta anadunda mzigo kama kawa. Bosi alimaind mbaya kwa nin binti kadanganya, na akampiga chini jumla jumla... Yani binti akapoteza dafu kwa kisa cha embe tunda la msimu...
HAHAHAHAHAHA HUYU NAE ALIPITILIZA HAHHA.... HUYU BINTI NAE NI MWAJIRIWA ILA ATAKUA LIKIZO KUANZIA TAR 29.6 HAD 28.7..KWAHY HAPO YUKO LIKIZO... NA MWAKA JANA ALIFANYA PIA KWASABABU YUKO LIKIZO KILA HIKO KIPINDI CHA MSIMU WA SABA SABA.....hii ndo raha ya kufanya kazi na mzungu anayejali summer holiday, akienda summer na wao likizo.
 
Kila la kheri. Umenikumbusha kuna binti mmoja alikuwa anafanya kazi kampuni fulani kama receptionist. Sasa akapata dili nono la saba saba. Ikabidi aombe ED ofisini kuwa anaumwa for a week apumzike. Sasa akaenda kufanya kazi kule saba saba. Maonesho yalivyoanza bosi wake akawa anatembelea mambanda na akamkuta anadunda mzigo kama kawa. Bosi alimaind mbaya kwa nin binti kadanganya, na akampiga chini jumla jumla... Yani binti akapoteza dafu kwa kisa cha embe tunda la msimu...
Waswahili tunasema usiache mmbachao kwa msala upitao
pia masela wanasema
Katupa Almasi na kuokota jiwe
 
Back
Top Bottom