Binti mrembo wa ki-iraq

Wanajamii, nahitaji msaada wenu ktk hili.

...umepita mwezi mmoja sasa toka nikutane na binti mrembo toka kabila la Wa-iraq wanaoishi karatu...aisee ni binti mkali sana na mzuri wa moyo...(kwa kipindi hiki toka nimfahamu) kwa kudra za Mwenyezi naendelea kuomba awe mke wa ndoa.

Nauliza, mabinti wa kabila hili la wa-iraq wakoje yaani uhalisia wao kabisa...maana wahenga walisema "Ukipenda shirikisha walio nje ili upate kitu sahihi"

Tafadhali, mwenye ufahamu na mabinti wa kabila la wa-iraq anisaidie...

Nawasilisha wadau wa jukwaa!!!!

hata mimi ningekuwa mkaka ningeoa mu-iraq
 
Usha mwona yuko pouwa so what next.. Utaambiwa mengine ambayo hayapo,OA UVUNJE KIKOMBE,all the best
 
Huwa nazichukia sana thread zinazoongelea tabia za makabila. Wengi huzitumia kusemea vibaya makabila ya wenzetu. Haiwezekani kila kabila linalouliziwa hapa linamapungufu tu! Humu kuna watu waliooa na walioolewa lakini utadhani hawajaoa wa tz maana humu kila aliyetoka kwenye makabila yetu hana sifa nzuri.

I hate this. Period!

A very good narration, I second you
 
Wewe ukimaliza kuangalia kabila lake endelea na haya yafuatayo:

Wanawake weupe/weusi wakoje?
Wanawake warefu/wafupi wakoje?
Wanawake wanene/wembamba wakoje?
Wanawake wakritu/waisalamu wakoje?
Wanawake wanawake ahhhhggrrrr umenikasirisha
Unapenda kabila au mtu mwenyewe??

Peleka ukabila wako hukoooooooooooo
 
Ndo hapo hapo sasa vichekesho.
wanachungulia magunia ya wengine kumbe yao
yameja magunzi matupuuu..

Cha aajabu ni pale mtu anapochanganya watu wote wa kabila moja..
na wakati kila mtu amekulia na amezaliwa kwenye familia na mazingira tofauti ..
Dada afrodenzi mi huwa naipenda sana avatar yako..........ningependa kuamini kuwa umeichagua kwa kuipenda....au ungependa uonekane hivyo......na pia ningeamini kuwa wewe ulivyo ni sawa na unachoongea......nilikuwa tu napenda nikuulize kwa uzuri tu......kuhusu ile mila ya kukeketa mabinti kama ipo kwenu..yaani wairaq.......siulizi kwa mabaya bali kwa uzuri tu kwani ninafanya study yangu juu ya haya mambo na nimefika kwa baadhi ya mikoa kama singida nimekusanya taarifa nzuri tu kutoka kwa mabinti waliofanyiwa hii kitu.Kwa kuwa hili ni jambo la kimila mara nyingi wahusika hawapendi kulizungumza lakini kwa dunia ya leo hili swala si la kuficha na la kupingwa kwa kila hali na uwazi.....ni wadada wachache sana ambao utakutana nao wakwambie kwao wanakata(keketa)au wao wamekeketwa........lakini kwa kuwa humu jukwaani naona mko nyie mnaotoka haya maeneo wanayosema hii culture ipo basi ingekuwa vizuri tulijadili hili swala............................
 
Duh mm ninaye 1 kwa sasa tuna mwaka kimahusiano ni mreeembo haswa kama vile wana dawa cz namfeel sana nimemsoma na tabia zao kiukweli ni mkimyaa, anahuruma , hana noo kwangu kwa lolote , ila ni wepesi kusahau kile mnachokubaliana, ushauri wa kimaisha kiukweli sifuri, akikosa mwepesi kuomba msamaha hawapendi mabishano n.k
 
hiyo jamii yao ndo wale pale mrina,mitaa ya clock tower @ 9t na shivas-arusha, alivyokua mkarimu kwako! nami nkikutana nae ata akiwa mkeo atanifanyia ukarimu ivyo ivyo!
 
Wanajamii, nahitaji msaada wenu ktk hili.

...umepita mwezi mmoja sasa toka nikutane na binti mrembo toka kabila la Wa-iraq wanaoishi karatu...aisee ni binti mkali sana na mzuri wa moyo...(kwa kipindi hiki toka nimfahamu) kwa kudra za Mwenyezi naendelea kuomba awe mke wa ndoa.

Nauliza, mabinti wa kabila hili la wa-iraq wakoje yaani uhalisia wao kabisa...maana wahenga walisema "Ukipenda shirikisha walio nje ili upate kitu sahihi"

Tafadhali, mwenye ufahamu na mabinti wa kabila la wa-iraq anisaidie...

Nawasilisha wadau wa jukwaa!!!!

Ni pm!ntakupa kiundan zaidi!mwenyewe niko Karatu!japo tulishazijadili sana humu,wasifu wao kiundani!kamata mke,acha ujinga!sawa shemeji yangu?
 
bado daffi sasa sijui itakuwaje hapo kwa dadake kupendwa na ankoli bupilipili..:confused3:

Ndetichia,kuwa na shemeji makini siyo mbaya,ila wale wa kula kwenda huwa wananiudhi!kwanza mabinti za kiiraqw,kiujumla ni wazuri,wapole,wanahekima,wenye utii,zaidi kwa uzuri wao wa asili wanaonekana kama hawajatulia kwa sababu wanasumbuliwa sana na wanaume hasa wa kibantu!nawapongeza kwa sababu ni mabinti wenye msimamo,wasiopenda kuyumbishwa,siyo waongeaji bali vitendo vinaongea zaidi kuliko maneno,hawapendi uonevu,wanapenda kupendwa,zaidi hawapendi uwachanganyie wanawake!nafikiri umenielewa!
 
Back
Top Bottom