Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Ile kanisa nimewahi kuingia na sio mara moja,wanasema kwa ukubwa africa ni la tatu ila sina uhakika,Nina hakika utakuwa umewahi kusali lile kanisa Katoliki la Imbolu ni kubwa hilo sijawahi ona aisee
ila kila maisha yanaraha yake,nilipazoea sana imboru mana nilikuwa na friends kibao it was really interesting place