Wanajamii, nahitaji msaada wenu ktk hili.
...umepita mwezi mmoja sasa toka nikutane na binti mrembo toka kabila la Wa-iraq wanaoishi karatu...aisee ni binti mkali sana na mzuri wa moyo...(kwa kipindi hiki toka nimfahamu) kwa kudra za Mwenyezi naendelea kuomba awe mke wa ndoa.
Nauliza, mabinti wa kabila hili la wa-iraq wakoje yaani uhalisia wao kabisa...maana wahenga walisema "Ukipenda shirikisha walio nje ili upate kitu sahihi"
Tafadhali, mwenye ufahamu na mabinti wa kabila la wa-iraq anisaidie...
Nawasilisha wadau wa jukwaa!!!!
wanajamii, nahitaji msaada wenu ktk hili.
...umepita mwezi mmoja sasa toka nikutane na binti mrembo toka kabila la wa-iraq wanaoishi karatu...aisee ni binti mkali sana na mzuri wa moyo...(kwa kipindi hiki toka nimfahamu) kwa kudra za mwenyezi naendelea kuomba awe mke wa ndoa.
Nauliza, mabinti wa kabila hili la wa-iraq wakoje yaani uhalisia wao kabisa...maana wahenga walisema "ukipenda shirikisha walio nje ili upate kitu sahihi"
tafadhali, mwenye ufahamu na mabinti wa kabila la wa-iraq anisaidie...
Nawasilisha wadau wa jukwaa!!!!
garma wii yaa .. faaroqwo..
kung garma oo ako??
...naendelea kumuomba Mwenyezi...
af, binti kanihakishia "hajawahi kuguswa toka azaliwe"
Mmmm hawa wa-iraq kwanza weupe peeeeee,pili vigeugeu sana na watu wa kushoboka,pili ukimleta dar tu watu wanakusaidia
umenikumbusha mbali wewe!!!!hanang'-manyara.kaka kama unaoa oa maana ni wazuri sana!!na kwa kweri umependa!!au na wewe unatoka sehemu ambazo wanatahiri wanawake?maana hakuna msichana muiraqw hata kama ana miaka 8 hajatairiwa!!ila angalizo kama uliloambiwa hawajui kukataa awe ameolewa au la!!huo ni uhakika hata afro dens anaujua!!!!ukimleta kwa wajanja watakusaidia tu maana wana mvuto!!!
WeSifa zao..
1. Wanashoboka sana kwa wanaume hasa hasa ukiwa kabila tofauti na wao
2. Hawajui kukataa mtu,unamtnga leo,kesho anamkubali mwingine
3. Hawajui kumhandle mwanaume na kumkamata kisawasawa(i.e mapenzi kwao Division 0)
4. Ni wazuri kisura,bali kiumbo 0. Na wanatumia uzuri wao kukamata wengi, kama we ulivyomsifia hapo.
5. Hawana mitazamo ya Mbele kimaisha wanaangalia leo tu.
6. Hawajui dhamani ya pesa(matumizi si mazuri kiufupi)
7. Wanasifika kwa Umal***y
Ila sikukatishi moyo nakushauri mchunguze kwa mda mrefu ujue A-Z yake ndo Kama kuoa Ndo uone
Mwanaume wengi wanasema si wa kuoa ila wakuchezea tu,ili uonekane na we una mtu Mzuri
NOTE: Si wote ila ASILIMIA KUBWA WAPO HIVYO.
Ana Desi.
lawayok ako.
Sayu aidoma khaaee..
Mmmm hawa wa-iraq kwanza weupe peeeeee,pili vigeugeu sana na watu wa kushoboka,pili ukimleta dar tu watu wanakusaidia
We
umekutana na wangapi ? au ulichosema hapo umesikia, umeona au umeyapiti?
tayari wameshaaanza...............sisi wabongo!
we vip si umependa binti bwana?sasa unauliza nini, utaambiwa mengine ambayo utakosa usingizi ndugu. stop this.
we vip si umependa binti bwana?sasa unauliza nini, utaambiwa mengine ambayo utakosa usingizi ndugu. Stop this.
sifa zao..
1. Wanashoboka sana kwa wanaume hasa hasa ukiwa kabila tofauti na wao
2. Hawajui kukataa mtu,unamtnga leo,kesho anamkubali mwingine
3. Hawajui kumhandle mwanaume na kumkamata kisawasawa(i.e mapenzi kwao division 0)
4. Ni wazuri kisura,bali kiumbo 0. Na wanatumia uzuri wao kukamata wengi, kama we ulivyomsifia hapo.
5. Hawana mitazamo ya mbele kimaisha wanaangalia leo tu.
6. Hawajui dhamani ya pesa(matumizi si mazuri kiufupi)
7. Wanasifika kwa umal***y
ila sikukatishi moyo nakushauri mchunguze kwa mda mrefu ujue a-z yake ndo kama kuoa ndo uone
mwanaume wengi wanasema si wa kuoa ila wakuchezea tu,ili uonekane na we una mtu mzuri
note: Si wote ila asilimia kubwa wapo hivyo.