Lyagwa unadhani kuna binadamu asokuwa na mitihani?? (positively tuite ni changamoto)
Pole sana mkuu najaribisha kukivaa kiatu cha mary naona kinanibana aisee. Sasa kwanini usifuatilie kujua mila zinasemaje nafahamu familia moja walioa mabinti ambao walikua mkubwa na mdogo na ndoa zao zilifungwa kanisani mpaka leo watu wale wanaishi kwa furaha na amani.
Nimeshindwa kumaliza ndefuu sanaaa
hakuna cha unyakyusa wala nini. Hizo ni enzi hizo bana, ebu ampe mimba uone kama wazazi watakataa......yeye ni uoga wa bure tu
Katika maisha kila mtu ana changamoto zake na zinatofautiana kulingana na mazingira, wakati nk, ila tu niliogopa ama kuhisi kulingana na andiko lako huenda una changamoto similar na ya mkuu mentor, thus why niliuliza na si vinginevyo.
Uwe na alasiri njema.
We nae kwa uvivu lol!
Sijui kama hata huwa unasoma magaeti
Go for her kama bado unampenda..sidhani kama inashindikana, hamna undugu wowote. Nawafahamu jamaa fulani mtu na kaka yake wameoa nyumba moja yani mtu na dada yake (undugu wa damu kabisaa). Nikikutajia jina unaweza kuwapata..!
Please grow old together!! changamka besti ohooo