Binti Mariam

pole sana shostito wangu Mentor...i can feel wht u r going through...tayari huyo ashakua shemeji yako n there is nothing you can do to change that..maumivu yako yataisha tu..huwa wanasema ''Time is the best healer''..n a strong mind can separate the body from suffering..pole sn
 
Last edited by a moderator:
kumbe Mentor tumesoma wote kibo primary. . .yaani umenikumbusha mbali, mwalimu kasa, ndosi, c malya, mwalimu makule, baadae mama minja wa kilimanjaro alibadilishana shule na mama nkya. . .dah! Those gud old times mzee.
 
Last edited by a moderator:
kumbe Mentor tumesoma wote kibo primary. . .yaani umenikumbusha mbali, mwalimu kasa, ndosi, c malya, mwalimu makule, baadae mama minja wa kilimanjaro alibadilishana shule na mama nkya. . .dah! Those gud old times mzee.
 
Last edited by a moderator:
We kaka wala usiumize kichwa na wala usipatwe na mawazo mbona hapo hakuna zambi yoyote? mimi niliwahi kuhudhuria harusi ya aina hiyo, wakaka wa familia moja wameoa wadada wa familia moja.....ila wao walikuwa mapacha...yaani mapacha wanaume wakaoa mapacha wanawake.......na mpaka leo maisha yao ni mazuri na wanaelewana vizuri tu......tena wakaka ni watu wa huko huko kaskazini.....

Unachotakiwa kufanya ni kupeleka posa kwa kina mary na wala haitakataliwa, nakuambia ukweli....ni kitu cha kawaida tu...na huwa inawafanya mnakuwa karibu zaidi kama familia.....hiyo kitu inatokea sana tu labda hujawahi kuona wewe lkn si kitu kigeni na wala hakuna cha kushangaza hapo........
sasa hao wadada wamepishana matumbo watu wanoa mapacha waliokaa tumbo moja seuze hao? we endelea na mchakato wako wa kumuoa mary bana achana na hofu za kijingajinga....
 
Duh! Yaani kusema hiyo kauli umeikopa kutoka mdomoni mwangu vile Mzee...Tofauti ni kuwa kwangu mii huu si mzaha🙂
Ahahahaha maana mary.. anaonekana kalelewa akaleleka.Mila zikizuia ntamuomba atupe ruhusu nikusindikize kijana kwa Mary

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 

kwa wanyakyusa hilo jambo halikubaliki, labda kwasababu huyo mary ni mchanganyiko wa kisukuma pia....
 
kwa wanyakyusa hilo jambo halikubaliki, labda kwasababu huyo mary ni mchanganyiko wa kisukuma pia....


hakuna cha unyakyusa wala nini. hizo ni enzi hizo bana, ebu ampe mimba uone kama wazazi watakataa......yeye ni uoga wa bure tu
 
So sad,hahaha hiyo inaitwa timing maana for sure mimi naamini bro alikuwa anajua kinachoendelea bt atafanyeje wakati na yeye keshafall tena kwa mkubwa
 

Huu ni utaratibu tu ambao tumejiwekea na si sheria kwamba kama kaka yako akioa sehemu basi wewe usiowe, imekuwa hivi kwa kuwa sisi ni binadamu na tuna mapungufu kutokana na assumption kwamba endapo itafikia uhusiano ume-fall apart kwenye pair moja bado hii pair nyingine itaendelea kuwa sehemu ya watu wa karibi hivyo bado interaction itaendelea kuwepo na wahusika watazidi kuumia once wanatakapokutana katika event za furaha na huzuni maana hiyo pair nyingine ni ndugu zao. Lakini kwa ujumla, if all other things remain constant hakuna shida kuoa nyumba moja kwani mila na desturi hata kisheria hairuhusiwi ndugu moja kuoana
 

Kumbe mshua wako ni polisi ( aliwahi kuwa polisi? ). Dah siwapendi polisi!
 
Babu zangu yaani mtu na mdogo wake wameoa familia moja mbaya ni pale labda baba mdogo au uncle ameoa familia hiyo na wewe uende hapo hapo haileti picha.

Ila kwa issue ya mtu na dada yake hakuna mbaya tena ni wasukuma sidhani kama kuna shida

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
what i know if itwasnt meant for you...............hata ufanyeje huipati.
simply go for another one, imagine what if ukalazimisha kumapa mimba halafu akajifungua kitu kisichoeleweka, ama kila akiazaa mtoto anakufa could you resist it??

ama je akajakupata ulemavu wakati wa kuzaa ambao ungekuwa ni wa kudumu na ambao ungegharimu kuuhudumia akiwa kitandani maisha yake yote usingejuta??

basi ukiwaza hivyo utaacha hili lipite huku uukimwomba Mungu kwa wakufanana na wewe.
 
Sioni kizuizi chochote kwani wewe na kaka yako kuoa familia moja kuna shida gani...unless ni elimu mpya mujini hapa!
 
Guyz kwani kuoa sehemu alipo oa kakako kunakua na tatizo?

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…