Binti kuwa karibu sana na baba yake

Binti kuwa karibu sana na baba yake

MKIKUU

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
335
Reaction score
489
Hello wakuu,

Kuna hili suala la baadhi ya mabinti kuwa karibu sana na baba zao ingawa na mama zao wapo, hivi ni kweli kwamba ni wameruka stage?

Me sijui saikolojia naomba mnieleweshe kwa sababu hali hii nimeishuhudia kwa mabinti baadhi nikiwemo na mimi mwenyewe tangu mtoto hadi nimekua maana mabinti wengi huwa karibu sana na mama zao.
 
hapo kwenye kuruka stage umemaanisha nini sijui?

ila kwa haraka haraka, wanawake wana vitenzi vikurupushi vingi sana kwa watoto wao wa kike! tofauti na watoto me.

baba huwa na upendo mwingi sana anapokuwa na mtoto wa kike, vile vile mama nae kwa mtoto wa kiume...

naona ni kama sumaku tu kwa S na N instead of N and N!
 
^^
Hiyo hali ilipewa jina na mwanasaikolojia Carl Gustav Jung kuwa ni Electra Complex..ambapo watoto wa kike hushindana na mama yao kumiliki upendo wa Baba,, Jung alieleza Electra Complex ikiwa ni kufidia kinyume cha upendo wa wavulana/watoto wa kiume kumpenda mama, ambapo kwao huitwa Oedipus Complex kama ilivyofafanuliwa vema na Sigmund Freud na Mwanafalsafa wa Kigriki Plato
^^
 
Angalia sana mababa wa siku hizi sio kabisa wanakula damu zao ,wanapenda kufungua njia wenyewe !nimeshuhudia kwa macho yangu kesi zaidi ya tano
 
Haina tatizo me pia baba yangu ni best friend wangu..
 
mie sijui hasa sababu but tulijikuta tuko hivyo. Kwa familia yetu mabinti tuko wawili kati ya watoto 6. Wanaume ndo walitangulia na mie ni wa5 kuzaliwa na binti wa kwanza kwa familia. Mama anasema alipendwa na baba sana wakati yuko mjamzito wa mie, basi upendo ule haujawahi kupungua hadi nilipozaliwa baba alinipenda sana yaani nami nlikuwa nampenda sana.
Nakumbuka hadi nilivyopata period mara ya kwanza alinipa hela ya pads(sikumwambia kama nataka ninunue directly) ila nadhan alijua coz alimuwakia mama na akaanzisha utaratibu wa kutoa hela za matumizi binafsi kila mwisho wa mwezi. Nilikuwa nampenda sanaaaa.
Sikuwahi kuwa na boyfriend coz nlikuwa naamini lazma atajua na ntamuudhi. Mpaka alipofariki baadae sana kama mwaka hivi ndo nikapata boyfriend.
May your soul rest in peace my father.
 
^^
Hiyo hali ilipewa jina na mwanasaikolojia Carl Gustav Jung kuwa ni Electra Complex..ambapo watoto wa kike hushindana na mama yao kumiliki upendo wa Baba,, Jung alieleza Electra Complex ikiwa ni kufidia kinyume cha upendo wa wavulana/watoto wa kiume kumpenda mama, ambapo kwao huitwa Oedipus Complex kama ilivyofafanuliwa vema na Sigmund Freud na Mwanafalsafa wa Kigriki Plato
^^

Umenikumbusha mbali sana mkuu enzi za undergraduate!duuh....
 
mie sijui hasa sababu but tulijikuta tuko hivyo. Kwa familia yetu mabinti tuko wawili kati ya watoto 6. Wanaume ndo walitangulia na mie ni wa5 kuzaliwa na binti wa kwanza kwa familia. Mama anasema alipendwa na baba sana wakati yuko mjamzito wa mie, basi upendo ule haujawahi kupungua hadi nilipozaliwa baba alinipenda sana yaani nami nlikuwa nampenda sana.
Nakumbuka hadi nilivyopata period mara ya kwanza alinipa hela ya pads(sikumwambia kama nataka ninunue directly) ila nadhan alijua coz alimuwakia mama na akaanzisha utaratibu wa kutoa hela za matumizi binafsi kila mwisho wa mwezi. Nilikuwa nampenda sanaaaa.
Sikuwahi kuwa na boyfriend coz nlikuwa naamini lazma atajua na ntamuudhi. Mpaka alipofariki baadae sana kama mwaka hivi ndo nikapata boyfriend.
May your soul rest in peace my father.

Huu upendo wenu wewe na babako basi ulivuka stage msemo wa mleta thread mpaka unatia mashaka mmmmh mpaka pedi mkawa mnanunuliana!!
 
ni biological nature tu ipo mtoto kuwa karibu anajifunza kutoka kwa baba na wa kiume kwa mama ili wakija kuwa wazma wanaweza ku handle family kwa pande zote ila mi tangu mdogo nampendaje dady mama ckuwa na habari naye its nature
 
Pole, may your dady rest in peace!
mie sijui hasa sababu but tulijikuta tuko hivyo. Kwa familia yetu mabinti tuko wawili kati ya watoto 6. Wanaume ndo walitangulia na mie ni wa5 kuzaliwa na binti wa kwanza kwa familia. Mama anasema alipendwa na baba sana wakati yuko mjamzito wa mie, basi upendo ule haujawahi kupungua hadi nilipozaliwa baba alinipenda sana yaani nami nlikuwa nampenda sana.
Nakumbuka hadi nilivyopata period mara ya kwanza alinipa hela ya pads(sikumwambia kama nataka ninunue directly) ila nadhan alijua coz alimuwakia mama na akaanzisha utaratibu wa kutoa hela za matumizi binafsi kila mwisho wa mwezi. Nilikuwa nampenda sanaaaa.
Sikuwahi kuwa na boyfriend coz nlikuwa naamini lazma atajua na ntamuudhi. Mpaka alipofariki baadae sana kama mwaka hivi ndo nikapata boyfriend.
May your soul rest in peace my father.
 
Huu upendo wenu wewe na babako basi ulivuka stage msemo wa mleta thread mpaka unatia mashaka mmmmh mpaka pedi mkawa mnanunuliana!!

Wananunuliana yeye na nani?

Sipendagi watu wanaopenda kuzua na kukuza maneno tofauti na hali halisi.

Can't my Dad love me very much simply because I am his daughter?
 
Mi nakumbuka growing up it was just Dad, sis and I and I was the eldest. Kwa kweli tulipitia mengi mnooooo. Mama aliondoka tukiwa wadogo sana na baba alitulea peke yake.

Tulipofika adolescence alikuja kuoa but on condition we would never be mistreated. It was just us. Tunaenda shule tukitoka tunaenda garage jioni we eat out, halafu icecream then tunakuja kulala. For years.

Hata alipokuja kuoa Dad's love never changed. Mpaka leo. Step mama akawa analalamika Baba hapendi watoto wake but it is not true. Ali expect kwamba there would be some difference because watoto wake ni wa kiume, si you know how shallow minds think?

God Bless all Daddys.
 
Mie sioni tatizo katika hilo,baba yangu ananipenda sana hata sasa nimekuwa na nina familia yangu na kwetu wanajua hilo.
Mnaowaza vibaya mna yenu,kuna wababa wanaogopwa kama Simba makwao na bado wanafanya uchafu na watoto wao:baby:
 
Mi nakumbuka growing up it was just Dad, sis and I and I was the eldest. Kwa kweli tulipitia mengi mnooooo. Mama aliondoka tukiwa wadogo sana na baba alitulea peke yake.

Tulipofika adolescence alikuja kuoa but on condition we would never be mistreated. It was just us. Tunaenda shule tukitoka tunaenda garage jioni we eat out, halafu icecream then tunakuja kulala. For years.

Hata alipokuja kuoa Dad's love never changed. Mpaka leo. Step mama akawa analalamika Baba hapendi watoto wake but it is not true. Ali expect kwamba there would be some difference because watoto wake ni wa kiume, si you know how shallow minds think?

God Bless all Daddys.

Amen, God bless us
 
Nammiss sana baba yangu, ilikuwa mapema sana kwa yeye kuondoka
anyway siwezi kumpangia mungu ratiba.....
 
Back
Top Bottom