King0001
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 200
- 285
Wakuu hivi binti wa kizungu umri kati ya miaka 25-27 kuanza utaratibu wa kumkonyeza mwanaume kwa jicho la kulia kila wanaposalimiana huwa ina maana gani?
Tabia hiyo kabla hakuwa nayo. Sasa hata akiwa katoka usingizini huyo binti bado ana wenge wakikutana tu kwenye korido huyo jamaa huwa lazima achapwe konyezo la jicho la kulia. Wakikutana hata ofisini, wakasalimiana konyezo huingizwa!
Wanakaa nyumba moja, wanafanya kazi sehemu moja ofisi tofauti.