Habari wanaJF..
Naandika uzi huu kwa niaba ya binti ambaye anatafuta ofisi ya kufanyia field ya reception and front operation.
Wasifu wake
-anajali muda na wajibu wake katika kazi
-anaonhea na kuandika kwa ufasaha lugha ya kiswahili na kingereza
-anaishi dar es salaam
Naomba kwa wenye connection na hotels/lodge na organisation mbalimbali wa msaidie.
Asante..
-Queen
Naandika uzi huu kwa niaba ya binti ambaye anatafuta ofisi ya kufanyia field ya reception and front operation.
Wasifu wake
-anajali muda na wajibu wake katika kazi
-anaonhea na kuandika kwa ufasaha lugha ya kiswahili na kingereza
-anaishi dar es salaam
Naomba kwa wenye connection na hotels/lodge na organisation mbalimbali wa msaidie.
Asante..
-Queen