Nimebahatika kupata binti mrembo wa Kiarabu kiukweli ananipa mapenzi moto moto/miuno ya kufa mtu lakini sasa kila wiki anadai anaenda kwa Mganga wa kienyeji ili watusomee dua ya kutufanya mambo yetu yawe mazuri.
Daah nimejitahidi kumshauri aachane na hayo mambo lakini hanisikilizi. Sasa ametishia kama naendelea kumzingua atamuambia mganga niwe Ndondocha daah!
Hao watu wa Asia ni hatari, mi nna kikaka changu cha bangladeshi kinavyonitishaga ukimpa mtu mi ntamfanya hamna, ukitongozwa tu kinakuambia babyy your chating with somebody i dont like stop please. :sly:😀:what:
hao watu wa asia ni hatari, mi nna kikaka changu cha bangladeshi kinavyonitishaga ukimpa mtu mi ntamfanya hamna, ukitongozwa tu kinakuambia babyy your chating with somebody i dont like stop please. :sly:😀:what:
hao watu wa asia ni hatari, mi nna kikaka changu cha bangladeshi kinavyonitishaga ukimpa mtu mi ntamfanya hamna, ukitongozwa tu kinakuambia babyy your chating with somebody i dont like stop please. :sly:😀:what: