Binti akutwa amekufa Guest House Morogoro

Binti akutwa amekufa Guest House Morogoro

wiseboy.

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2014
Posts
2,931
Reaction score
4,550
Binti Mmoja Mwenye Umri Usiopungua Miaka 20,amekutwa Amekufa Ktk Nyumba Moja Ya Kulala Wageni Iliyopo Mjini Morogoro.

Mwili Wa Binti Huyo Uligunduliwa Na Wahudumu Wa Gest Hiyo Wakati Wakifanya Usafi.Ulikutwa Ukiwa Uchi Wa Mnyama.

Taarifa Zinasema Kuwa Binti Huyo Aliingia Ktk Gest Akiwa Na Mwanaume Ambaye Hadi Hivi Sasa Hajajulikana ambaye Inasemekana Alitoweka Usiku Wa Tukio.
 
Weka picha,habari bila picha hainogi.
 
Uwiiii jamani?Kutembea na watu wasiojielewa jamani ni shida
 
Weka picha,habari bila picha hainogi.

ImageUploadedByJamiiForums1423334630.412287.jpg

Hayaaa
 
Aiseee, haya mambo bana!! ndo maana tunatakiwa tumuombe Mungu atujaalie mwisho mwema kila uchwao!
 
pole yake pia watrack mawasiliano yake kama huyo mwaume waliwasiliana before ya kumit watampata kama alimuokota tu hapo ni sheeeeeeddeeeerrrrrrr
 
Tamaa mbaya sana ameliwa mzigo mpaka mauti ndo hasara za kukimbilia mambo ya kikubwa.
 
Hivi hawakuandika hapo Gesti ,?

hawakuacha hata na namba ya simu?

suspect wa kwanza ni huyo Mhudumu
 
Back
Top Bottom