Binti akutwa amekufa Guest House Morogoro

Binti akutwa amekufa Guest House Morogoro

vichwa vyangu vimegoma kuamini hii story
 
Nimemkumbuka mwalimu wangu aliyekuwa anatufundisha kumuomba Mungu kabla ya kuanza kufanya mapenzi, maana sio kitu kidogo
 
Nimemkumbuka mwalimu wangu aliyekuwa anatufundisha kumuomba Mungu kabla ya kuanza kufanya mapenzi, maana sio kitu kidogo
Huyo mwalimu alikuwa anapotosha, angekuwa sahihi kama angesema umwombe shetani kabla ya kufanya hayo mambo yako ya uzinzi, kwa kuwa kwenye vitabu vya dini imeandikwa kuwa kufanya mapenzi na mwanamke ambaye siyo mke wako ni kuzini, na jambo hilo ni dhambi na halikubaliki kabisa kwa Mungu.
 
Vichwa sita,1 chenye ubongo+4 vya vidole gumba+1 cha kugegedea.

Hahahahah duuh, minilidhani utasema viwili tu, daah kumbe hata gumba la mguu ni kichwapia!!!!. Hahahahaha je? Naweza kulitumia hili gumba la mguu. Duuh absolutely jf it's stresses doctor.
 
vichwa vyangu vimegoma kuamini hii story

Siyo Lazima Uamini,wewe Ni Kilaza Ambaye Upo Upo Tu Duani,inaonekana Hata Magazeti Husomi,mi Nilidhani Ungechangia Vizuri Zaidi Kwa Kuwa Labda Umesoma Ktk Papers,story Hii Imeandikwa Kwenye Gazeti La Nipashe La Majuzi. Nami Nilikuwa Safarini Tu Napita Morogoro Ndo Nikasikia Imesambaa Hapo Mjini Kabla Sijasoma Gazeti,acha Ujinga,jenga Tabia Ya Kusoma Vyombo Vya Habari Ndina Wewe.
 
Mmh jaman ali***** mpaka akafa jaman wanaume sisi wabaya mm ndo maana mwanamke nisiye mjua sichukui
 
Back
Top Bottom