Tetesi: Binti aitwaye Farida ametekwa

Tukiwa weng itakua poa sana tukupitie wapi sisi tunatokea bagamoyo road
 
Pengine wewe ndiye hasa unatakiwa kutumia akili. Kukosoa utawala ni haki ya kila mwananchi, havunji sheria ndiyo maana anaona hakuna haja ya kujificha. Wanaonyemelea na kuteka ndiyo wanavunja sheria kwa sababu wanajificha. Zile zama za kuogopa zimepita.
 
Naanza kukuelewa.
 
Rostam azizi anajua alipo huyo msichana....wakristo mtamalizwa na hao washenzi wa misikitini niliwaambia akina mwamposa na sampori zake wametengenezwa kuwapotezea wakristo muda na kuwafanya watupwe nje ya serikali ndiyo maana majuzi huyo muhuni mwamposa katoa mafundisho ya kuponda wakristo kuangaika na ajira za serikali akidai ni kupoteza muda na kutotumia akili ...swali mbona Rostam azizi na tajiri wake wote yupo tayari hata kuwa diwani wa ccm au mkuu wa wilaya ? Anaweza kutuambia sababu ni nini ?
 
Ntawaambia tena watoto wa maskini wenzangu........ Ukiona umeanza uanaharakati wa kisiasa na ghafla umeanza kupata milege na Tsh kadhaa kutoka kwa wanaharakati wakubwa kama Maria na wenzake......

Ndugu kifo ki karibu yako kuliko wanaharakati.

Dola na nguvu havitengamani, madaraka ni matamu sana kuyaachia kwa sababu tu muuza nguo anataka CHADEMA iingie madarakani.

Siasa Tz bado haijafikia kiwango cha kuwatoa watanzania ndani waliopo wote ni product domant za chama tawala ikiwemo alieko ndani.

Choose wisely.
 
Haya... Mkuu.
 
Sawa..

Remember: Nyerere alitumia njia gani kudai uhuru.., Mandela na wapigania uhuru wenzie tumewapa makazi hapa Tanzania wakafanya mipango yao huku.

Uzuri hata hao WATAWALA wenu wanawajua hamna Akili. Na watawabeba kama Kuku mpk muishe.
 
Nchi inaongozwa na viongizi wenye akili ndogo sana sasa uyo mtoto anamadhara gan adi watumie kodi zetu kwenda kumteka ayo ndo ukisikia matumizi mabaya ya kodi za wananchi
 
Tegemea matusi tu hapa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…