Bingwa wa updates,Nokia yuko live Berlin Germany.

Bingwa wa updates,Nokia yuko live Berlin Germany.

Nasoma haya kupitia Nokia 8...ni beast, nachoipendea iko speed sana huwa najivunia hata uje na simu gani tufanye speed test nitashinda tu. Sijawahi juta kumiliki simu hii.
Nokia 8 Ni flagship ya zamani, sd835 Ina nguvu Kushinda simu nyingi lazima uione simu Ina speed sana.
 
Lakini mkuu hizi simu nimewahi test madukani mbona hazina taste kabisa ya nokia tuliowazoea awali?
Hazitengenezwi na Nokia mkuu, zinatumia stock Android ambayo haijaongezwa manjonjo yoyote ndio maana unaona zipo hivyo, na ndio sababu pia zinapata updates haraka haraka.
 
Bro niuzie iyo simu nimetafta kila kona hamna
hizi za batan nazo wangezihamishia tu kwenye android os, kaios km vile wanafeli, wanajaza 3rd part/secondary app na magem meng, user interface yake sio nzuri,
mkononi hapa nina e72 na 8110 4G lakin mambo meng ya haraka nafanya kwa hii e72 as i type now,
 
Simu ni maongezi bora ya ufanisi pamoja na chaji kukaa muda mrefu kuwezesha hayo maongezi...., mengine yote ni mbwembwe
Hapana hauko sawa simu inavitu vingi kabla ya kuamua kuinunua na hasa kwa kuzingatia haya
1. Durambility:- hapa mi ubora na uimara wa simu husika na uhimili wake wa changamoto

2. technology :- hapa ndio maswala ya camera, android version, sensors , display tech , battery nk) ,

3. security and safety :- hapa ndio maswala ya uwezo wa kuzuia radiation kwa mtumiaji na adhari zinginezo kwa mtumiaji pia uwezo wa kutunza na kuhifadhi faragha zamteja na kuziwekea ulinzi na usalama.

Hapo kidogo utapata mwangaza
 
Back
Top Bottom