Bingwa wa updates,Nokia yuko live Berlin Germany.

Bingwa wa updates,Nokia yuko live Berlin Germany.

Nokia hawajawahi kuniangusha tangu enzi zile. Simu ubora na uimara mkubwa bei ya kawaida.
 
Ok, so ubora unaweza kuwa ni level Tecno tuu au kuna vitu nokia inaizidi TECNO?
Mediatek zao zinakuwa na ubora kidogo sababu HMD wanafanya kazi na mediatek wenyewe, mfano hio Nokia 1 inapata major updates mbili kwa simu ya mediatek haviwezekani Hadi mediatek wenyewe wahusike.

Utofauti mkubwa wa mediatek na makampuni mengine Kama Qualcomm na exynos za Samsung Ni kwamba Hawa mediatek SOC zao zimefungwa hawatoi kernel source code kwa developers ili waweze kutengeneza vitu mbalimbali, ndio maana unakuta simu zao zipo ovyo ovyo sababu vitu havijakuwa optimized, na baadhi ya vitu vinakuwa hakuna kabisa mfano port za Google camera.

Hivyo ili kampuni iweze kutoa updates inabidi isaidiwe na mediatek wenyewe, hata ukisoma Twitter za HMD utaona na wao wanapata tabu kwenye hii issue.

Na japo HMD inazidiwa na kampuni Kama Xiaomi ama wachina wengine Ila Tecno amezidi kuweka specs ndogo kwenye simu zake, hivyo ukinunua simu za HMD utapata specs kubwa zaidi compare na Tecno.

Mfano chukulia haka haka Ka Nokia 1 ambako unakapata kwa 150K kana
-core za cortex A53
-4G

Wakati simu nyingi za Tecno za hio price point Zina cortex A7 na Kuna nyengine zinauzwa zaidi ya laki 2 Kama spark K7 hazina 4G.
 
Kai os nzuri ukilinganisha na s30, Ila haijafikia level za symbian ama s40, Ina app chache na nzito pia haina mini browser Kama Opera mini ambazo Zina.make sense kwenye hizi simu ndogo.

Nilijaribu kuitumia Nokia 8110 4g Kama daily driver nilishindwa... Button zake zilivyo ni shida na ukiwa na mambo mengi ndio kabisaaaaa...

Nilipata hasara nikaamua kununua smartphone kwa lazima...

Ingawa inaingia WhatsApp ila kwa mwenye matumizi makubwa haifai kabisaaaaa
 
Nilijaribu kuitumia Nokia 8110 4g Kama daily driver nilishindwa... Button zake zilivyo ni shida na ukiwa na mambo mengi ndio kabisaaaaa...

Nilipata hasara nikaamua kununua smartphone kwa lazima...

Ingawa inaingia WhatsApp ila kwa mwenye matumizi makubwa haifai kabisaaaaa
Hata Mimi 8110 yangu IPO kwenye IPO IPO tu, naitumia Mara chache kama hotspot tu. Mara Mia ununue Nokia c5 ya 2011 Ina Mambo mengi Kushinda Kai os.
 
Back
Top Bottom