Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,448
- 176,423






Bulubendi bangi imepigwa marufuku ujue!!!!
Hakuna simu bora kama tecno dunia nzima
Ukibisha ni wivu tu unakusumbua






Hakuna simu bora kama tecno dunia nzima
Ukibisha ni wivu tu unakusumbua
Ni hio hio mkuu na hii Kampuni inaitwa HMD sio Nokia Wenyewe.Chief-Mkwawa eti kwanini hawa Nokia bado wameishikilia sana Chipset ya MTK au MTK ya Nokia ni tofauti na inayotumiwa na kina TECNO??
Ok, so ubora unaweza kuwa ni level Tecno tuu au kuna vitu nokia inaizidi TECNO?Ni hio hio mkuu na hii Kampuni inaitwa HMD sio Nokia Wenyewe.


team tecno
Hakuna simu bora kama tecno dunia nzima
Ukibisha ni wivu tu unakusumbua

Watu wengi wanapenda simu za batani maana unaweza andika meseji hata umelala na ukaipatia na ukaituma. Itel na wenzake wanazingua batani kama jiwe
Mediatek zao zinakuwa na ubora kidogo sababu HMD wanafanya kazi na mediatek wenyewe, mfano hio Nokia 1 inapata major updates mbili kwa simu ya mediatek haviwezekani Hadi mediatek wenyewe wahusike.Ok, so ubora unaweza kuwa ni level Tecno tuu au kuna vitu nokia inaizidi TECNO?
Tecno inajulikana tu kusini mwa jangwa la sahara.China mainland hata Techo awaijui let alone the west.Hakuna simu bora kama tecno dunia nzima
Ukibisha ni wivu tu unakusumbua
Hakuna simu bora kama tecno dunia nzima
Ukibisha ni wivu tu unakusumbua
Chief-Mkwawa eti kwanini hawa Nokia bado wameishikilia sana Chipset ya MTK au MTK ya Nokia ni tofauti na inayotumiwa na kina TECNO??
So na nyie mnanchukulia seriouTecno inajulikana tu kusini mwa jangwa la sahara.China mainland hata Techo awaijui let alone the west.
Kai os nzuri ukilinganisha na s30, Ila haijafikia level za symbian ama s40, Ina app chache na nzito pia haina mini browser Kama Opera mini ambazo Zina.make sense kwenye hizi simu ndogo.
Hata Mimi 8110 yangu IPO kwenye IPO IPO tu, naitumia Mara chache kama hotspot tu. Mara Mia ununue Nokia c5 ya 2011 Ina Mambo mengi Kushinda Kai os.Nilijaribu kuitumia Nokia 8110 4g Kama daily driver nilishindwa... Button zake zilivyo ni shida na ukiwa na mambo mengi ndio kabisaaaaa...
Nilipata hasara nikaamua kununua smartphone kwa lazima...
Ingawa inaingia WhatsApp ila kwa mwenye matumizi makubwa haifai kabisaaaaa
Nasoma haya kupitia Nokia 8...ni beast, nachoipendea iko speed sana huwa najivunia hata uje na simu gani tufanye speed test nitashinda tu. Sijawahi juta kumiliki simu hii.Hata Mimi 8110 yangu IPO kwenye IPO IPO tu, naitumia Mara chache kama hotspot tu. Mara Mia ununue Nokia c5 ya 2011 Ina Mambo mengi Kushinda Kai os.