Bingwa wa updates,Nokia yuko live Berlin Germany.

Bingwa wa updates,Nokia yuko live Berlin Germany.

Tatizo la Samsung ni kwenye updates tu.Kumbuka kuwa updates hufanya simu kuwa fanisi zaidi hata kama sd ni ndogo.Mwanzo,simu yangu Nokia 5 haikuwa nzuri sana kwenye kamera.Huwezi amini kwa sasa ni full shangwe,mara baada ya kupata Android Pie.
Hizi simu Ni Doa, sd636 kwenye 6.2 na 660 kwenye 7.2? Even Samsung wame up their game Wana offer sd 675 kwenye mid-range za hii price point.
 
Nokia Fold iko poa sana. Kiufupi Nokia anaturudisha zamani.

Nikipata hela nitanunua Nokia
 
Nokia tokea warudi mchezoni hawajawahi kudissapoint nimetumia Nokia 5, Nokia 5.1, sasa nipo na Nokia 5.1 Plus

Nilikua naisubiria 5.2 naona hawajatoa, inabidi tuhame sasa
 
Hakika mkuu.Nokia wapo vizuri sana.
Nokia tokea warudi mchezoni hawajawahi kudissapoint nimetumia Nokia 5, Nokia 5.1, sasa nipo na Nokia 5.1 Plus

Nilikua naisubiria 5.2 naona hawajatoa, inabidi tuhame sasa
 
Watu wengi wanapenda simu za batani maana unaweza andika meseji hata umelala na ukaipatia na ukaituma. Itel na wenzake wanazingua batani kama jiwe
 
Back
Top Bottom