Kai os nzuri ukilinganisha na s30, Ila haijafikia level za symbian ama s40, Ina app chache na nzito pia haina mini browser Kama Opera mini ambazo Zina.make sense kwenye hizi simu ndogo.Kai Os sio nzuri ukilinganisha na sailfish?.Maana kidogo hapo nina kaushamba.
IHiyo lazima utakuwa unaipiga makofi tuu![]()
4G kabisaDuuuuuuuuu, balaaaaaa.Cheki pia hiki kitu cha kubofya Nokia 220,kipo sokoni.View attachment 1198888
Hongera kwa utaalamu wa teknolojia.Kumbe inawezekana kutumia Android kwenye hizo simu za batani?.Hebu nifungue kidogo kuhusu hiyo Kai Os utendaji wake.
Dola ngapi?Wakuu, tayari Nokia 2720 yenye 4G,imezinduliwa rasmi.Sasa hivi tuko live Berlin.View attachment 1198938
In reality picha ya juu bado inafanya kazi Sasa Hivi. Apple, Samsung, Huawei na wachina wengine wanalipa mabilioni kwa Nokia kutumia technology zake kwenye simu, Huawei na Xiaomi wamehamia kabisa huko finland kwenye maabara zao za camera.
Ni kweli kabisa mkuu.Anakuja juu sana.Fikiria Nokia 1,inapata Android Q, yaani, Android 10,wakati Samsung grand prime plus hata Nougat haijapata.
In reality picha ya juu bado inafanya kazi Sasa Hivi. Apple, Samsung, Huawei na wachina wengine wanalipa mabilioni kwa Nokia kutumia technology zake kwenye simu, Huawei na Xiaomi wamehamia kabisa huko finland kwenye maabara zao za camera.
ina wasapu ???au mbwembwe tu...Subiria open pia hiyo Nokia ya kubofya View attachment 1198882