Bingwa wa kupinga...

Bingwa wa kupinga...

Wa Nyumbani

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2011
Posts
438
Reaction score
67
Bibi kizee mmoja alikwenda benki moja maarufu sana hapa nchini ili kuweka fedha zake. Alipofika mapokezi aliuliza.
"Naomba kumwona meneja mkuu wa benki hii"
Mfanyakazi wa mapokezi akamuuliza,
"Unataka kumuona kwa shida gani?"
"Nataka kufungua akaunti" akajibu bibi
"Akaunti inafunguliwa hapa hapa mapokezi, sio kwa meneja" akajibu mtu wa mapokezi.
"Mimi nataka kufungua akaunti ofisini kwa meneja maana nina pesa nyingi sana hapa" akasisitiza yule bibi kizee
"Hata hapa unawezxa kufungua kwa pesa hizo zote na zitakuwa kwenye usalama tu"
"Kama hutaki kunuruhusu kufungulia kwa meneja, basi nakwenda kufungua kwenye benki nyingine" akasema bibi huku akiwa amechukia.

Kuona hivyo, mfanyakazi wa mapokezi akaamua kumpeleka kwa meneja.
"Kwa nini mmeshindwa kumfungulia akaunti huko mapokezi" akauliza meneja
"Amesema lazima afungulie kwako na nilipomsisitiza afungulie mapokezi alitaka kuondoka"

Basi meneja akaamua amfungulie yeye akaunti. Bibi akazitoa pesa, zilikuwa shilingi milioni kumi taslimu! hadi meneja akashangaa na kumuuliza,
"Bibi inaonekana pesa hizi umezidunduliza kwa muda mrefu sana ee"
"Hapana, nimezipata juzi juzi tu"
"Umezipataje?"
"Kwa kupinga na mtu"
"Kweli? kupinga tu hadi ukapata pesa zote hizo?"
"Yaah, nimepinga tu. Tena hata na wewe tunaweza kupinga tu"
"Ehe, tunaweza kupinga vipi" akauliza meneja kwa udadisi.
"Kwa mfano, tunaweza kupinga kuwa kesho saa kama hizi, pumbu zako zitakuwa za square yaani pembe nne. Kama zikiwa hivyo, wewe utanipa milioni kumi na zisipobadilika mimi nitakupa hizo zangu"
Meneja kusikia hivyo, akakubali mara moja na wakapinga. Bibi kizee akaondoka. Meneja alibaki akiwa na wasiwasi sana, hadi alipotoka ofisini kila mara alikuwa anazishika pumbu zake kuona kama zimebadilika. Hadi siku iliyofuata asubuhi bado pumbu zake zilikuwa kama kawaida.
Saa nne asubuhi bibi kizee alifika benkikwa meneja akiwa ameongozana na jamaa mmoja nyuma yake.
"Ehe naona bibi umekuja" meneja akasema huku akiwa na wasiwasi. Mara moja akatoka kwenda chooni kuhakikisha kama pumbu zake ziko sawasawa. Akakuta hazijabadilika, akarudi mara moja ofisini kwake.
"Haya bibi, pumbu zangu hazijabadilika, ehe, si unaona ziko sawasawa? nimekushinda!" akasema meneja kwa kutamba. Bibi kizee akamsogelea meneja na kumwambia kwa sauti ya chini chini.
"Sawa baba lakini mimi nitahakikishaje?"
"Njoo tu uzishike" akasema meneja.
"Sawa lakini lazima uvue suruali nizishike pumbu zako nihakikishe" alisema bibi.
Meneja akavua suruali na bibi kizee akaanza kuzichezea pumbu zake.
Wakati akiendelea kuzichezea (zilikuwa hazijabadilika) yule mtu aliyeongozana na bibi alikuwa anajibamiza ukutani kwa nyuma. Meneja akashangaa na kumuuliza bibi.
"Mbona huyo jamaa uliyekuja naye anajibamiza ukutani? huoni ataumia?"
"Heh he heee! huyo KALIWA!!" alisema bibi na kuendelea, "Nilipinga naye jana kuwa leo hii saa nne nitakuwa nazichezea pumbu za meneja wa benki kubwa hapa nchini, akakataa eti siwezi. Tulipinga shilingi MILIONI ISHIRINI! hivi anakwenda kuzitoa baba!"
Meneja akachukua milioni kumi na bibi akapata milioni ishirini! ha ha haaa ahaaaaa!!!
 
Bibi kizee mmoja alikwenda benki moja maarufu sana hapa nchini ili kuweka fedha zake. Alipofika mapokezi aliuliza.
"Naomba kumwona meneja mkuu wa benki hii"
Mfanyakazi wa mapokezi akamuuliza,
"Unataka kumuona kwa shida gani?"
"Nataka kufungua akaunti" akajibu bibi
"Akaunti inafunguliwa hapa hapa mapokezi, sio kwa meneja" akajibu mtu wa mapokezi.
"Mimi nataka kufungua akaunti ofisini kwa meneja maana nina pesa nyingi sana hapa" akasisitiza yule bibi kizee
"Hata hapa unawezxa kufungua kwa pesa hizo zote na zitakuwa kwenye usalama tu"
"Kama hutaki kunuruhusu kufungulia kwa meneja, basi nakwenda kufungua kwenye benki nyingine" akasema bibi huku akiwa amechukia.

Kuona hivyo, mfanyakazi wa mapokezi akaamua kumpeleka kwa meneja.
"Kwa nini mmeshindwa kumfungulia akaunti huko mapokezi" akauliza meneja
"Amesema lazima afungulie kwako na nilipomsisitiza afungulie mapokezi alitaka kuondoka"

Basi meneja akaamua amfungulie yeye akaunti. Bibi akazitoa pesa, zilikuwa shilingi milioni kumi taslimu! hadi meneja akashangaa na kumuuliza,
"Bibi inaonekana pesa hizi umezidunduliza kwa muda mrefu sana ee"
"Hapana, nimezipata juzi juzi tu"
"Umezipataje?"
"Kwa kupinga na mtu"
"Kweli? kupinga tu hadi ukapata pesa zote hizo?"
"Yaah, nimepinga tu. Tena hata na wewe tunaweza kupinga tu"
"Ehe, tunaweza kupinga vipi" akauliza meneja kwa udadisi.
"Kwa mfano, tunaweza kupinga kuwa kesho saa kama hizi, pumbu zako zitakuwa za square yaani pembe nne. Kama zikiwa hivyo, wewe utanipa milioni kumi na zisipobadilika mimi nitakupa hizo zangu"
Meneja kusikia hivyo, akakubali mara moja na wakapinga. Bibi kizee akaondoka. Meneja alibaki akiwa na wasiwasi sana, hadi alipotoka ofisini kila mara alikuwa anazishika pumbu zake kuona kama zimebadilika. Hadi siku iliyofuata asubuhi bado pumbu zake zilikuwa kama kawaida.
Saa nne asubuhi bibi kizee alifika benkikwa meneja akiwa ameongozana na jamaa mmoja nyuma yake.
"Ehe naona bibi umekuja" meneja akasema huku akiwa na wasiwasi. Mara moja akatoka kwenda chooni kuhakikisha kama pumbu zake ziko sawasawa. Akakuta hazijabadilika, akarudi mara moja ofisini kwake.
"Haya bibi, pumbu zangu hazijabadilika, ehe, si unaona ziko sawasawa? nimekushinda!" akasema meneja kwa kutamba. Bibi kizee akamsogelea meneja na kumwambia kwa sauti ya chini chini.
"Sawa baba lakini mimi nitahakikishaje?"
"Njoo tu uzishike" akasema meneja.
"Sawa lakini lazima uvue suruali nizishike pumbu zako nihakikishe" alisema bibi.
Meneja akavua suruali na bibi kizee akaanza kuzichezea pumbu zake.
Wakati akiendelea kuzichezea (zilikuwa hazijabadilika) yule mtu aliyeongozana na bibi alikuwa anajibamiza ukutani kwa nyuma. Meneja akashangaa na kumuuliza bibi.
"Mbona huyo jamaa uliyekuja naye anajibamiza ukutani? huoni ataumia?"
"Heh he heee! huyo KALIWA!!" alisema bibi na kuendelea, "Nilipinga naye jana kuwa leo hii saa nne nitakuwa nazichezea pumbu za meneja wa benki kubwa hapa nchini, akakataa eti siwezi. Tulipinga shilingi MILIONI ISHIRINI! hivi anakwenda kuzitoa baba!"
Meneja akachukua milioni kumi na bibi akapata milioni ishirini! ha ha haaa ahaaaaa!!!

Waungwana kuna watoto humu jamvini!!!!:tape:Lakini nzuri sana!!!
 
meneja faida, bibi faida. Mjinga kaliwa. Lkn katika neno pumbu mara nyengine tumia korodani. Si ndiyo lenye wepesi zaidi, au vipi?
 
huyo bibi ni bonge la mjasiriamali. nahisi alianza kwa huyo mzushi alieliwa kwanza, alipopata uhakika wa 20m, ndio akaenda kwa confidence sasa kwa meneja kuweka dau la 10m.
 
meneja faida, bibi faida. Mjinga kaliwa. Lkn katika neno pumbu mara nyengine tumia korodani. Si ndiyo lenye wepesi zaidi, au vipi?



Ndugu yangu Mkwaruzo, nashukuru kwa kurekebisha lugha, lakini usingetaja neno lenyewe maana tayari umeshaharibu, ungesema usitaje jina la kitu alichokuwa anakichezea. Lakini poa!
 
Daaah..., Bibi ametisha ile mbaya inaonekana ni mjasiliamali aliyebobea kwa ubunifu wa mbinu za kuingiza pesa
 
Tafsida kidogo jamani..

Inachangamsha akili, ila kutaja pumbu siyo dhambi. mbona ingekuwa imeandikwa kwa kiingereza wangetaja direct "scrotum". maswala ya kuficha ficha inaleta matatizo.

Weka vitu hadhalani tutazoea tu. Siyo Zeruzeru aitwe Albino (english), Kipofu-asiye ona! Kiziwi-Asiyesikia, Mwizi-kibaka, Mwogo-asiyesema kweli! Malaya-anayejiuza! Sema tu wazi tutasikia ukakasi lakini tutazoea kama wazungu.
 
..Nilisoma mahali version yake ya Kiingereza, nilicheka sana
 
Inachangamsha akili, ila kutaja pumbu siyo dhambi. mbona ingekuwa imeandikwa kwa kiingereza wangetaja direct "scrotum". maswala ya kuficha ficha inaleta matatizo.

Weka vitu hadhalani tutazoea tu. Siyo Zeruzeru aitwe Albino (english), Kipofu-asiye ona! Kiziwi-Asiyesikia, Mwizi-kibaka, Mwogo-asiyesema kweli! Malaya-anayejiuza! Sema tu wazi tutasikia ukakasi lakini tutazoea kama wazungu.


Sawa Anko lkn mtandao wasomwa na wote mkuu...
 
pumbu za Meneja?! Meneja baada ya kushikwa sana akasema:bibi endeleaaaa.....!
 
Ndugu yangu Mkwaruzo, nashukuru kwa kurekebisha lugha, lakini usingetaja neno lenyewe maana tayari umeshaharibu, ungesema usitaje jina la kitu alichokuwa anakichezea. Lakini poa!

Ni sawa ila sometime hatutakiwi kurekebisha peke yake bali kwanza tunabomoa na kujenga tena upya. Hii inasaidia kupata uimara zaidi. Lkn pia nakubaliana na ww ktk ulichoongezea kwa kile nilichokisema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom