Pelekaroho
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 1,599
- 368
Utabir wa TB Joshua umetimia ndio, lakini ule wa Nabii Flora aliyesema Sioi atashinda ubunge kule Arumeru Mash.nafikili ulikuwa wa kichina au alikuwa anatekeleza matakwa ya Mwigulu.Utabiri wa TB JOSHUA WATAMIA ALISEMA BAADA YA MIEZI MIWILI KUNA RAIS ATAKUFA