CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
JK lazima atakopi na kupesti hii.......MSOGA get prepared!!
alikula akashiba mno,
akaandaa nyumba ya milele,
na Mungu akamsikia akamlaza humo,
kazi yake imekwisha.
JK lazima atakopi na kupesti hii.......MSOGA get prepared!!
JK lazima atakopi na kupesti hii.......MSOGA get prepared!!
Na haya ndo maneno yake kutoka kwenye bible
2 Timothy 4: "[SUP]7[/SUP] I have fought the good fight, I have finished the race, I have kept the faith. [SUP]8[/SUP] Now there is in store for me the crown of righteousness, which the Lord, the righteous Judge, will award to me on that dayand not only to me, but also to all who have longed for his appearing. "
Hapa nimepata somo, maana jumba kama hilo hata watoto watarithije, maaha huwezi kulikata kama keki na kugawana vipande, hatari yake wataishia kugombana. Kwa nini asingejenga nyumba kadhaa ambazo watoto wake wangegawana urithi vizuri? Angejenga jengo kubwa la kupangisha mjini watoto wake wake kuridhi wangeuza au kuwa kitegeuchumi na kuchuma kutokana na wapangaji? Labda waliuze jengo hilo na shamba kwa mtu, lakini ameshazikwa ndani ni zuio la wazi jengo kubaki kama maktaba.
Ngwazi maana yake nini?
Waafrika mataito ndo yenyewe haswa. Wewe huoni siku hizi hadi wahandisi na wanasheria wanaweka taito zao kwenye majina yao....eti advocate (adv.) Bwa'Nchuchu....eng. Kichuguu....lazima watu wajue bana.
mashamba ya kisasa hujawah kuyaona?Hilo shamba gani lina Gypsum juu?
na hata hao watoto wanaweza kuamua kuishi ulaya
wakaacha hayo majumba.
kaka yangu parisi (R.I.P) aliishi pale moshi mjini
alijitahidi sana kujenga majumba mengi makubwa
hata pale kijijini akabadili akajenga majengo
imara ya kisasa.
akiwa katikati ya ujenzi Mungu akamchukua,
watoto alikuwa nao wengi tena wengi ni wa nje ya ndoa na mbaya zaidi hakuwaendeleza kielimu
baada ya hapo sijaona tena maendeleo toka alivyoondoka
zaidi ya kuuza uza zile mali.
tutafute vya kiasi kwa kuwa tutaviacha vyote.
Na haya ndo maneno yake kutoka kwenye bible
2 Timothy 4: "[SUP]7[/SUP] I have fought the good fight, I have finished the race, I have kept the faith. [SUP]8[/SUP] Now there is in store for me the crown of righteousness, which the Lord, the righteous Judge, will award to me on that dayand not only to me, but also to all who have longed for his appearing. "
Kama ulikuwepo akilini mwangu mkuu, JK lazima achukue madesa hapo na kuyapeleka msogaJK lazima atakopi na kupesti hii.......MSOGA get prepared!!
Dhana nzuri ni watoto kuwajengea uwezo wa kuanza kujitegemea, si wakute mali wakati hata uwezo wa kuzitunza hawana, kwani wazazi hawajui lini watamwendea Baba wa Milele.
kweli mkuu,
Miaka ya kuishi ni sabini kama una nguvu ni 80 tu
lakini unaweza kuondoka mapema pia kama wengine
walivyoondoka,
but tuwasomeshe hawa madogo
waje washindwe wenyewe mkuu wangu.
Mamndenyi@ asante kwa wazo lako zuri na nakubaliana kwa maoni yafuatayo hapa chini.
Sijatoka nje ya wazo hilo, ndio maana nimesema kuwajengea watoto na vijana uwezo wa kujitegemea. Haina maana waanze kuhangaika kama hawakuwa na wazazi, ila kuwaandalia mazingira ambayo watanzia maisha yao.
Ni dhamira nzuri kuwa na uzazi wa mpango, ambapo mtu kuwa na watoto wawili au watatu haitamwia ngumu kuwaachia mazingira mazuri ya kuendesha maisha kutokana na alivyowaandalia msingi. Kama mtoto amepata elimu ya kutosha na papo kuwa na pa kuweka kichwa chake sidhani atahangaika kama mie mzazi wake niliyeanza na kuchunga ng'ombe huku nimevaa lubega kufurukuta hadi umri wa makamu ndipo niwe na pa kuhifadhi kichwa changu.
Ndio napendekeza kama mtu unajenga bora jaribu kujanga nyumba kadhaa kama mbili au tatu kadiri ya idadi ya watoto ili urithi usiwe nongwa kwa watoto kuanza kugombania nafasi ikikuruhusu, kwani ukishahakikisha hilo ni wazi hati ya mirathi itaonyesha nani apate kipi au nyumba ipi, na watoto wenye busara wataridhia hekima na ridhaa ya mzazi wao kwani kawaandalia pa kuanzia maisha, kama wakishindwa ni uzembe wao.
Mbona umetumia matofali mengi sana ya kujenga chumba cha shule ya watoto wanaosomea chini ya mti.MIMI NIKIFA HILI LANITOSHA
MIMI NIKIFA HILI LANITOSHA