Bingo Natafuta kazi yoyote halali, Ndani Ya mkoa wa Mwanza

Xiuying

Member
Mar 19, 2017
31
10
Habari wana jamii forum,
Mimi Binti, Elimu yangu ni kidato cha 4. Natafuta kazi yoyote halali ndani Ya mkoa wa Mwanza .
Nipo tayari kufanya kazi pia katika (kazi za ndani, viwandani na kuuza duka, na stationary ). Naombeni msaada kwenu tafadhari. Mwenye connection yoyote aje DM.
 
Hujajibu swali unasema uko serious hebu jibu swali usaidike binti
 
Habari wana jamii forum,
Mimi Binti, Elimu yangu ni kidato cha 4. Natafuta kazi yoyote halali ndani Ya mkoa wa Mwanza .
Nipo tayari kufanya kazi pia katika (kazi za ndani, viwandani na kuuza duka, na stationary ). Naombeni msaada kwenu tafadhari. Mwenye connection yoyote aje DM.

Nichek inbox Xiuying
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom