Binamu wa Solemani adakwa USA

Binamu wa Solemani adakwa USA

Hawapendi kufa hao,hayo hua ni maneno tu
Wangekua wanapenda wasingekua wanalia

Chezea kufa nini 😀, khamenei kawahishwa kwa mabikira wanalia kila siku,kama kuna thawabu wanalia nini?
Duh unajua kuwachamba wa Iran na kuwashushua waseme mpka waone aibu🤗
 
hata ayatolas walimdharahu hivyo hivyo wakaenda kazini na kuendelea na maisha kama kawaida lichofwatia ni the whole family wiped out, msimchukulie poa sana ...
Ayatollah gani alidharau? Ile si ilikua counter attack au kuna mahali walisema wanataka kumuua?? Walikua kwenye mazungumzo ghafla wakavamia so mtu yeyote lazima unakua off guard.

Trump is useless, yeye kama anataka apeleke askari wa miguu tuone mbivu na mbichi
 
Back
Top Bottom