kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,751
- 12,140
Wewe Nani wa kuwapangia watu wawapeleke watoto wao wanapotaka? Kwani dini imewakataza ?
Nimekuonyesha wengi wanasilimu kwa waislamu kwenda hizo nchi. Nimekuambia kuwa Mtume kahimiza kutafuta elimu hata China. Husomi umekazania ubishi.
Hayo maisha unayoyaita freedom ya wanawake Hao wamarekani wenyewe wanayakataa wanasema ni changa la macho.
Chuki zote kwa Iran zilianzia hapa
View: https://youtube.com/shorts/8UfZd3PckiI?is=KftkOzlBVuTuwd8F
Wanapenda vya kafiri Marekani?
Kwa hio sasa tukubaliane kuwa Muirani akubali Ibilisi na kafiri Mmarekani kamzidi kila angle