Binamu wa Solemani adakwa USA

Binamu wa Solemani adakwa USA

Wewe Nani wa kuwapangia watu wawapeleke watoto wao wanapotaka? Kwani dini imewakataza ?
Nimekuonyesha wengi wanasilimu kwa waislamu kwenda hizo nchi. Nimekuambia kuwa Mtume kahimiza kutafuta elimu hata China. Husomi umekazania ubishi.
Hayo maisha unayoyaita freedom ya wanawake Hao wamarekani wenyewe wanayakataa wanasema ni changa la macho.

Chuki zote kwa Iran zilianzia hapa



View: https://youtube.com/shorts/8UfZd3PckiI?is=KftkOzlBVuTuwd8F

Wanapenda vya kafiri Marekani?
Kwa hio sasa tukubaliane kuwa Muirani akubali Ibilisi na kafiri Mmarekani kamzidi kila angle
 
Wanapenda vya kafiri Marekani?
Kwa hio sasa tukubaliane kuwa Muirani akubali Ibilisi na kafiri Mmarekani kamzidi kila angle
Elimu ni ya Mungu . Si ya kafiri wala mtu wa dini yoyote.

Kuzidiana kuko na ndiyo unaona hata Hao Wamarekani na ulaya Kuna wanafunzi wanaokuja kusoma huku Afrika au hujui. Halafu usifikiri hizo University zote ni Za serikali , nyengine ziko private na ziko nchi nchi nyingi.
 
Elimu ni ya Mungu . Si ya kafiri wala mtu wa dini yoyote.

Kuzidiana kuko na ndiyo unaona hata Hao Wamarekani na ulaya Kuna wanafunzi wanaokuja kusoma huku Afrika au hujui. Halafu usifikiri hizo University zote ni Za serikali , nyengine ziko private na ziko nchi nchi nyingi.
Aliekuambia elimu ni ya Mungu ni nani?

Kwa nini Maayatolah wa Iran wawapeleke watoto wao Marekani kuishi na kupata elimu ilhali Wa Iran masikini wanawatesa na kuwanyonga kwa sheria kali za kidini kuhusu mavazi?
Watoto wao wanatembea chuchu zipo wazi wakati wanaua wanawake wa Iran kwa kuonesha nywele zao tu?

IMG_20260406_111549.jpg
 
Wewe Nani wa kuwapangia watu wawapeleke watoto wao wanapotaka? Kwani dini imewakataza ?
Nimekuonyesha wengi wanasilimu kwa waislamu kwenda hizo nchi. Nimekuambia kuwa Mtume kahimiza kutafuta elimu hata China. Husomi umekazania ubishi.
Hayo maisha unayoyaita freedom ya wanawake Hao wamarekani wenyewe wanayakataa wanasema ni changa la macho.

Chuki zote kwa Iran zilianzia hapa



View: https://youtube.com/shorts/8UfZd3PckiI?is=KftkOzlBVuTuwd8F

IMG_20260406_111549.jpg
IMG_20260406_170919.jpg
 

Naona unarudi kule kule , nilikuambia Hayo ya kukamatwa mwanamke na kupigwa bakora ni uongo kwani wanaotembea vichwa wazi wamejaa Irani .
Na huyo former ambassador hujajiuliza ilikuwaje Kawa former ? Asiwe existing ?

Huyo Grand niece una hakika au umeokota propaganda Za wayahudi tu mitandaoni. Unafikiri hamna Hao watoto wa wanyonge wanaosoma nje. Mbona hata huku kwetu wapi wengi tu. Mimi nilikwenda Ulaya kusoma wala sikuwa mtoto wa Karume ,Ni mtoto wa Hao wanyonge unaojifanya kuwatetea wakati Karume aliwasomesha watoto wake nje ya nchi toka primary.


View: https://youtu.be/-E6sXsF4j40?is=ypvxMTvCdd5RwQwN
 
Naona unarudi kule kule , nilikuambia Hayo ya kukamatwa mwanamke na kupigwa bakora ni uongo kwani wanaotembea vichwa wazi wamejaa Irani .
Na huyo former ambassador hujajiuliza ilikuwaje Kawa former ? Asiwe existing ?

Huyo Grand niece una hakika au umeokota propaganda Za wayahudi tu mitandaoni. Unafikiri hamna Hao watoto wa wanyonge wanaosoma nje. Mbona hata huku kwetu wapi wengi tu. Mimi nilikwenda Ulaya kusoma wala sikuwa mtoto wa Karume ,Ni mtoto wa Hao wanyonge unaojifanya kuwatetea wakati Karume aliwasomesha watoto wake nje ya nchi toka primary.


View: https://youtu.be/-E6sXsF4j40?is=ypvxMTvCdd5RwQwN

Ulienda ulaya ya wapi wewe?😄😄😄😄🙆
 
Back
Top Bottom