Binamu wa Solemani adakwa USA

Binamu wa Solemani adakwa USA

watoto wa mullahs wa islamic republic hao wakila bata in the west, no hijab nothing, kule irani babab zao wanachapa viboko watoto wa wenngine kwa kuvaa jeans tu, sick people.

huyo hapo ndugu ya Qassem Soleimani ameshikwa na kuwa deported from USA ..



View attachment 3567770

View attachment 3567769

watoto wa irgc full kujiachia, sasa wamekuwa deported na USA
View attachment 3567771
Ila wazungu wana upendo sana na kujali utu,Ingekua waarabu wangesha wanyonga


Waarabu watu wa ajabu sana

Wapigwe tu
 
View attachment 3567893hawa Islamic regime wa Iran Ni sahihi watoto wao wanakula maisha US wanavaa wanavotaka alafu wa Iran wanawatesa kuvaa mabaibui eti Allah hapendi 😄

Wananyonga wa Iran kisa dini watoto wa maostaadh wa Iran wanakula maisha US

Arudishwe kwao huyo
Huu ndio ukoloni ambao hatuutaki
Mwanzoni ulisema ni gaidi ghafla unajadili mavazi? Huyo amechagua hayo maisha na Iranians wengi tu wanaishi diaspora maana maisha ni kuchagua tu. 100 millions wameona ni sawa kubaki Iran sasa wewe unaumia nini?
 
Mwanzoni ulisema ni gaidi ghafla unajadili mavazi? Huyo amechagua hayo maisha na Iranians wengi tu wanaishi diaspora maana maisha ni kuchagua tu. 100 millions wameona ni sawa kubaki Iran sasa wewe unaumia nini?
Wewe jamaa unachekesha?😄😄
Watoto wa iran kibao wanataka nao watimize ndoto zao za kuchagua maisha wanayopenda kuishi sio kulazimishwa kuvaa mahijabu na elimu ya dini tu

Trump huwezi kumchukia cheki alivyokoment dk chache zilizopita.jamaa ananifurahisha sana 😀 🤠 😀 😀 👇
IMG_20260405_152418.jpg
 
Mwanzoni ulisema ni gaidi ghafla unajadili mavazi? Huyo amechagua hayo maisha na Iranians wengi tu wanaishi diaspora maana maisha ni kuchagua tu. 100 millions wameona ni sawa kubaki Iran sasa wewe unaumia nini?
IMG_20260405_155804.jpg
Hawa vichaa wa serikali ya mapinduzi ya kiislamu wananyonga watoto wa wa Iran wenzao wanyonge alafu watoto wao wamewapeleka Marekani kuishi Maisha ya Uhuru wanayoyataka na kuwasomesha marekani elimu bora

Alafu huku kuna watz wanatoa mpaka mishipa ya fahamu kulalamika wanaonewa,Raia wao wenyewe wamewakataa
Ndio maana mission zao zinafeli kila siku
IMG_20260405_155804.jpg


Aisee Trump awasafishe hawa vichaa wote hakuna cha Ayatollah wala ayakuku
 
Watoto wa iran kibao wanataka nao watimize ndoto zao za kuchagua maisha wanayopenda kuishi sio kulazimishwa kuvaa mahijabu na elimu ya dini tu
Mkuu hiyo katiba ilipigiwa kura na wananchi, ni lini hiyo katiba wamelazimishiwa watu? Iran ndio nchi pekee mashariki ya kati yenye wasomi wengi wanawake narudia tena ndio nchi pekee sio hata Israel inayowafikia kwahiyo women emancipation ni kubwa sana kuliko mavazi tu.

Huko Saudia mbona ni sheria za mavazi ya kiislam, hata kutembea tu hadharani mtihani ila ndio swahiba wa USA. mbona hamuendi kuipindua? Turkey vipi sio nchi ya kiislam?

Punguzeni unafiki, kama issue ni mavazi basi pindueni zote sio mnachagua Iran na kuitafutia sababu
 
View attachment 3567959Hawa vichaa wa serikali ya mapinduzi ya kiislamu wananyonga watoto wa wa Iran wenzao wanyonge alafu watoto wao wamewapeleka Marekani kuishi Maisha ya Uhuru wanayoyataka na kuwasomesha marekani elimu bora

Alafu huku kuna watz wanatoa mpaka mishipa ya fahamu kulalamika wanaonewa,Raia wao wenyewe wamewakataa
Ndio maana mission zao zinafeli kila siku View attachment 3567959

Aisee Trump awasafishe hawa vichaa wote hakuna cha Ayatollah wala ayakuku
Si bora hawa wamehukumiwa mahakamani, vipi hao makumi ya raia wa marekani ambao sio tu hawajafikishwa mahakamani ila wameuwawa na ICE (askari wa immigration) kwenye stage za ukamataji. Huku wengine zaidi ya 70,000 wakitekwa na kuteswa!!!

Naomba utoe honest opinion maana umezidi unafiki. Hapa sijaongelea waliouwawa na polisi au jeshi hapani hawa ni immigration pekee tokea January mwaka huu. Hivi ingefanyika Iran mngesemaje?

 
View attachment 3567893hawa Islamic regime wa Iran Ni sahihi watoto wao wanakula maisha US wanavaa wanavotaka alafu wa Iran wanawatesa kuvaa mabaibui eti Allah hapendi 😄

Wananyonga wa Iran kisa dini watoto wa maostaadh wa Iran wanakula maisha US

Arudishwe kwao huyo
Huu ndio ukoloni ambao hatuutaki
Wewe Itakuwa ni mtoto uliyetokana na wanawake Kama Hao ndio ukawa unapigia debe ubilisi
 
Wewe Itakuwa ni mtoto uliyetokana na wanawake Kama Hao ndio ukawa unapigia debe ubilisi
Mnaemuita Ibilisi marekani ndipo mnapopeleka watoto wenu kupata elimu na kuishi maisha ya ndoto zao mkiwa Iran mnajifanya mna misimamo mikali ya kidini na kulazimisha raia wanyonge kuvaa mahijabu na kusoma elimu ya dini 😀😀

Nyie ni wapumbavu kweli

Unakuta mtz upo Vichochoroni Tandale huko na bando lako la Jero unakomaa kutukana marekani kuwaita ibilisi mpk mishipa ya fahamu inakutoka
Ujinga utawatoka lini nyie vilaza
20260405_132413.jpg
 
Mkuu hiyo katiba ilipigiwa kura na wananchi, ni lini hiyo katiba wamelazimishiwa watu? Iran ndio nchi pekee mashariki ya kati yenye wasomi wengi wanawake narudia tena ndio nchi pekee sio hata Israel inayowafikia kwahiyo women emancipation ni kubwa sana kuliko mavazi tu.

Huko Saudia mbona ni sheria za mavazi ya kiislam, hata kutembea tu hadharani mtihani ila ndio swahiba wa USA. mbona hamuendi kuipindua? Turkey vipi sio nchi ya kiislam?

Punguzeni unafiki, kama issue ni mavazi basi pindueni zote sio mnachagua Iran na kuitafutia sababu
Una uhakika ilipigiwa kura na Wa Iran?au unaongea tu

Tangu lini serikali dhalimu zikawa na katiba iliyopigiwa kura?
Wananchi wa Iran walipiga kura usipovaa hijabu unyongwe?
Maandamano kila kukicha Iran alafu unadai ilipigiwa kura

Sheria kandamizi za kiislamu unazijua wewe?

Watoto wao wenyewe wa viongozi wa Iran wamekimbilia marekani kuishi huru,mpk wanarudishwa kwao kwa lazima sasa 😀
 
Mnaemuita Ibilisi marekani ndipo mnapopeleka watoto wenu kupata elimu na kuishi maisha ya ndoto zao mkiwa Iran mnajifanya mna misimamo mikali ya kidini na kulazimisha raia wanyonge kuvaa mahijabu na kusoma elimu ya dini 😀😀

Nyie ni wapumbavu kweli

Unakuta mtz upo Vichochoroni Tandale huko na bando lako la Jero unakomaa kutukana marekani kuwaita ibilisi mpk mishipa ya fahamu inakutoka
Ujinga utawatoka lini nyie vilaza
View attachment 3568086

Elimu ni kitu chengine na hayo unayoyasema ni mengine , Kwa taarifa yako katika Uislamu tunaambiwa utafute elimu hata China. Huko mbona hukuleta picha wako na vichupi Kama unavyofurahia ?
 
Mnaemuita Ibilisi marekani ndipo mnapopeleka watoto wenu kupata elimu na kuishi maisha ya ndoto zao mkiwa Iran mnajifanya mna misimamo mikali ya kidini na kulazimisha raia wanyonge kuvaa mahijabu na kusoma elimu ya dini 😀😀

Nyie ni wapumbavu kweli

Unakuta mtz upo Vichochoroni Tandale huko na bando lako la Jero unakomaa kutukana marekani kuwaita ibilisi mpk mishipa ya fahamu inakutoka
Ujinga utawatoka lini nyie vilaza
View attachment 3568086

Elimu ni kitu chengine na hayo unayoyasema ni mengine , Kwa tasrifa yako katika Uislamu tunaambiwa utafute elimu hata China. Huko mbona hukuleta picha wako na vichupi Kama unavyofurahia . Kwenda kwao huko , kumesaidia kusilimisha watu kwa maelfu.



View: https://youtube.com/shorts/Am1HGeFVZG0?is=qxUvwWBBrBXiiPQG
 
Wewe jamaa unachekesha?😄😄
Watoto wa iran kibao wanataka nao watimize ndoto zao za kuchagua maisha wanayopenda kuishi sio kulazimishwa kuvaa mahijabu na elimu ya dini tu

Trump huwezi kumchukia cheki alivyokoment dk chache zilizopita.jamaa ananifurahisha sana 😀 🤠 😀 😀 👇View attachment 3567948
Kwani Si juzi tu timu ya wasichana ya mpira walikuwa Australia na vyombo vya habari vyote vya West vikapakazia eti waliomba ukimbizi na wamekubaliwa. Baada siku tatu tukasikia wote wako Istanbul transit wanaelekea Iran. Msikilize huyu dada anavyoongea


View: https://youtube.com/shorts/aHXodt1qZEk?is=NYGdyAsboitW2XjM
 
Una uhakika ilipigiwa kura na Wa Iran?au unaongea tu

Tangu lini serikali dhalimu zikawa na katiba iliyopigiwa kura?
Wananchi wa Iran walipiga kura usipovaa hijabu unyongwe?
Maandamano kila kukicha Iran alafu unadai ilipigiwa kura

Sheria kandamizi za kiislamu unazijua wewe?

Watoto wao wenyewe wa viongozi wa Iran wamekimbilia marekani kuishi huru,mpk wanarudishwa kwao kwa lazima sasa 😀



View: https://youtube.com/shorts/TyjY_XUZmIw?is=SgqKEl8Q_d3jUO7W
 
Elimu ni kitu chengine na hayo unayoyasema ni mengine , Kwa taarifa yako katika Uislamu tunaambiwa utafute elimu hata China. Huko mbona hukuleta picha wako na vichupi Kama unavyofurahia ?
Kwa nini wanaenda tafuta elimu kwa makafiri ambao mnawaita maibilisi?
Wewe kwa akili yako huoni ni kama mnachezewa mchezo wa kombolela?

Mkatae mkubali maibilisi wa Marekani wamekamilika ndio maana mnapeleka watoto wenu kupata elimu huko
Mnajifanya sitaki nataka
Mkubwa mkubwa tu hata mkaze vip mpaka mishipa iwatoke

Soleimani na ukamanda wake watoto wake wapo US 😀😀 kwa makafiri

Wewe unakomaa huku mpk unataka kupasuka
 
Una uhakika ilipigiwa kura na Wa Iran?au unaongea tu

Tangu lini serikali dhalimu zikawa na katiba iliyopigiwa kura?
Wananchi wa Iran walipiga kura usipovaa hijabu unyongwe?
Maandamano kila kukicha Iran alafu unadai ilipigiwa kura
Punguza ujuaji bwana mdogo, unaonekana ni mtoto wa 2010 hujui chochote. Kura ya katiba ya 1979 ilipitishwa kwa 92% kwahiyo wao wenyewe wameipitisha, inakuuma nini?

Iran ilishakuwa na demokrasia tokea miaka ya 1940s kabla serikali ya kidemokrasia haijapinduliwa na wamarekani!!

 
Sheria kandamizi za kiislamu unazijua wewe?
Ndio kama zipi? Marekani mbona sheria za gun control zimepelekea kuwa na mauaji mengi kwa risasi kuliko nchi yoyote uarabuni ikiwemo Iran. Hapo sijaongelea US inaongoza kwa jail population yaani watu zaidi ya million 20 wapo jela huko marekani unadhani ni kwa sheria zipi?
 
Back
Top Bottom