Hhhhh kampikie bwana wako chaisina access naye, ningeshukuru kupata bahati na heshima kama hiyo, ...
Ayatollah gani alidharau? Ile si ilikua counter attack au kuna mahali walisema wanataka kumuua?? Walikua kwenye mazungumzo ghafla wakavamia so mtu yeyote lazima unakua off guard.
Trump is useless, yeye kama anataka apeleke askari wa miguu tuone mbivu na mbichi
Mojtaba Ali khamenei eliminatedAyatollah gani alidharau? Ile si ilikua counter attack au kuna mahali walisema wanataka kumuua?? Walikua kwenye mazungumzo ghafla wakavamia so mtu yeyote lazima unakua off guard.
Trump is useless, yeye kama anataka apeleke askari wa miguu tuone mbivu na mbichi
Magaidi wa IRGC sasa wachague kati ya kukaa na rubani waliyemteka au wamuachie huru.
View: https://www.instagram.com/p/DWtuFn-DnnS/?igsh=c3NoNmVhNmlmcjZt
Rubani gani huyo mliyemkamata?Huyu rubani tutamngoa meno kwa pakari
Umeniona wapi mimi nikiongelea iyo picha ? Au ww ndo uloongelea iyo picha?Rubani gani huyo mliyemkamata?
Mnaiongelea hii picha kutoka kwenye movie ya behind the enemy lines?
View attachment 3567747
Kwani kuwauwa wote hao kumesimamisha vimondo vinavyoshushwa tel aviv
Ni lugha mkuu hata hapo tumejitahidi sana..Unapotosha, huyu alikua raia wa USA ila amefutwa uraia na Marco Rubio na ndio akakamatwa ili afukuzwe ila its not like alikua amekimbilia huko au ni gaidi!!
Punguzeni misinformation
West kutamu sana.watoto wa mullahs wa islamic republic hao wakila bata in the west, no hijab nothing, kule irani babab zao wanachapa viboko watoto wa wenngine kwa kuvaa jeans tu, sick people.
huyo hapo ndugu ya Qassem Soleimani ameshikwa na kuwa deported from USA ..
View attachment 3567770
View attachment 3567769
watoto wa irgc full kujiachia, sasa wamekuwa deported na USA
View attachment 3567771
West kutamu sana.
Wangekuwa Iran wangekuwa wanaonekana macho tu hawa ila check pisi za ukweli kabisa, tracko na miguu ya bia kabisa hiyo.
Kumbe Iran kuna totoz kali kabisa
So what? Kuna 135 Ayatollahs in iran, it's not that hard to pick a new one every week for the next 3 yearsMojtaba Ali khamenei eliminated
Una uhakika wapo 135?au unafurahisha genge?So what? Kuna 135 Ayatollahs in iran, it's not that hard to pick a new one every week for the next 3 years
Ndio nina uhakika, Grand Ayatollahs (Maraji) wapo 50, huku Ayatollahs wako 85. Hapo sijaongelea walip cueo cha chini yao ambao ni mamia wanaweza kuwa promoted any time wakawa ayatollahs.Una uhakika wapo 135?au unafurahisha genge?
Wameshindwa nini? US ndio ameshindwa kuipora Iran. Ni ajabu sana mtu kushangilia ukoloniWaikabidhi US nchi wameshashindwa waliosalia waache kujitutumua
Wale sio ukoloni wale ni magaidi hakuna huruma kwa nchi inayo sponsor magaidiNdio nina uhakika, Grand Ayatollahs (Maraji) wapo 50, huku Ayatollahs wako 85. Hapo sijaongelea walip cueo cha chini yao ambao ni mamia wanaweza kuwa promoted any time wakawa ayatollahs.
Wameshindwa nini? US ndio ameshindwa kuipora Iran. Ni ajabu sana mtu kushangilia ukoloni
Wale sio ukoloni wale ni magaidi hakuna huruma kwa nchi inayo sponsor magaidi
Tofautisha ukoloni na ugaidi
Mkuu hivi ugaidi ni nini? Mfano Israel-USA iliwapa silaha na fedha al qaeda wa Syria yaani Al nusra front/HTS na wamefanikiwa kumpindua Al Assad je huko sio kufadhili ugaidi?Wale sio ukoloni wale ni magaidi hakuna huruma kwa nchi inayo sponsor magaidi
Tofautisha ukoloni na ugaidi
KayngayHuyo ni kumfanyia yale yanayofanywa Tunduma ya kupoteza nyeti . Hapo hapatakiwi uchawi .
Angalia miguu yao ngoko utadhani ya kware.watoto wa mullahs wa islamic republic hao wakila bata in the west, no hijab nothing, kule irani babab zao wanachapa viboko watoto wa wenngine kwa kuvaa jeans tu, sick people.
huyo hapo ndugu ya Qassem Soleimani ameshikwa na kuwa deported from USA ..
View attachment 3567770
View attachment 3567769
watoto wa irgc full kujiachia, sasa wamekuwa deported na USA
View attachment 3567771
Mkuu hivi ugaidi ni nini? Mfano Israel-USA iliwapa silaha na fedha al qaeda wa Syria yaani Al nusra front/HTS na wamefanikiwa kumpindua Al Assad je huko sio kufadhili ugaidi?
Mfano somalilanda inajitenga toka Somalia na Israel ina isupport je huo sio ugaidi kufadhili makundi yanayopinga serikali tena kwa mitutu?