kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,751
- 12,140
Wewe bwanamdogo marekani aliipindua Iran lini?Punguza ujuaji bwana mdogo, unaonekana ni mtoto wa 2010 hujui chochote. Kura ya katiba ya 1979 ilipitishwa kwa 92% kwahiyo wao wenyewe wameipitisha, inakuuma nini?
Iran ilishakuwa na demokrasia tokea miaka ya 1940s kabla serikali ya kidemokrasia haijapinduliwa na wamarekani!!
![]()
The Islamic Republic of Iran’s Power Centers | Council on Foreign Relations
Who calls the shots in Iran on economic policy, security, and domestic calls for reform? A look at the government’s organization chart indicates how complicated the answer is.www.cfr.org
Hao Irgc ndio walipindua serikali ya kidemokrasia mwaka 1979 wakaingiza sharia law kupitia hao maimamu akina Khomeini
Ila usihofu Marekani ndio anaipindua Iran ya sasa kurudisha utawala bora wa kidemokrasia