Binamu wa Solemani adakwa USA

Binamu wa Solemani adakwa USA

Punguza ujuaji bwana mdogo, unaonekana ni mtoto wa 2010 hujui chochote. Kura ya katiba ya 1979 ilipitishwa kwa 92% kwahiyo wao wenyewe wameipitisha, inakuuma nini?

Iran ilishakuwa na demokrasia tokea miaka ya 1940s kabla serikali ya kidemokrasia haijapinduliwa na wamarekani!!

Wewe bwanamdogo marekani aliipindua Iran lini?
Hao Irgc ndio walipindua serikali ya kidemokrasia mwaka 1979 wakaingiza sharia law kupitia hao maimamu akina Khomeini

Ila usihofu Marekani ndio anaipindua Iran ya sasa kurudisha utawala bora wa kidemokrasia
 
Mtoto yupi wa solemani yupo USA?
IMG_20260406_002324.jpg
kuna wewe huku Bongo unajifanya kujua haki za Wa Iran kuliko wa Iran wenyewe 😀
 
Wewe bwanamdogo marekani aliipindua Iran lini?
Ndio maana nikasema hujui lolote, mwaka 1953 Mohammed Mosadegh alipinduliwa na USA na wakamuweka Shah mohammed Reza Pahlavi. Ambaye alikuwa Shah tayari ila aliongezewa mamlaka na kuwapa wazungu madili ya kuchimba mafuta.

Kasome historia bwana mdogo
 
View attachment 3568147kuna wewe huku Bongo unajifanya kujua haki za Wa Iran kuliko wa Iran wenyewe 😀
Punguza unafiki kama maandamano ndio sababu, hata ICE kule US imeteka watu 70,000 na imeua zaidi ya 14 tokea January 2026. Ila sababu ni US hamuwezi sema kitu ila ingekua Iran mngesema ni sharia za kiislam!!

Nimekuwekea link kule juu umepita kama hujaiona
 
Hao Irgc ndio walipindua serikali ya kidemokrasia mwaka 1979 wakaingiza sharia law kupitia hao maimamu akina Khomeini
Una umri gani? Serikali ya Shah Reza ilikua ya kidemokrasia? Upo serious kweli?

Hakuna sharia iliingizwa, kura ilipigwa ya referendum kumaliza ufalme wa Reza na wananchi wenyewe walipiga kura katiba mpya na 92% walisema NDIYO.
 
Kwa nini wanaenda tafuta elimu kwa makafiri ambao mnawaita maibilisi?
Wewe kwa akili yako huoni ni kama mnachezewa mchezo wa kombolela?

Mkatae mkubali maibilisi wa Marekani wamekamilika ndio maana mnapeleka watoto wenu kupata elimu huko
Mnajifanya sitaki nataka
Mkubwa mkubwa tu hata mkaze vip mpaka mishipa iwatoke

Soleimani na ukamanda wake watoto wake wapo US 😀😀 kwa makafiri

Wewe unakomaa huku mpk unataka kupasuka

Wewe sidhani hata ulifika form 4. Hivi hapa Tz hamna wanafunzi wanaokuja kusoma kutoka Europe na Marekani ? Kwa nini waje huku? Elimu ni kitu chengine na hilo chipwi lako ni jambo jengine. Waislamu wamehimizwa waitafute elimu hata China . Kwani wakati wa Mtume China kulikuwa Kuna waislamu?
 
Umeniona wapi mimi nikiongelea iyo picha ? Au ww ndo uloongelea iyo picha?
Taarifa yako ni baada ya kuonyeshwa hiyo picha kwenye vyanzo vyenu. Tuambie wewe sasa ulikuwa unamuongelea Mwanajeshi gani ‘mliyemkamata’?
 
Una umri gani? Serikali ya Shah Reza ilikua ya kidemokrasia? Upo serious kweli?

Hakuna sharia iliingizwa, kura ilipigwa ya referendum kumaliza ufalme wa Reza na wananchi wenyewe walipiga kura katiba mpya na 92% walisema NDIYO.
Ulikuwepo mpk ukatae ilikua sio ya kidemokrasia?

Na ukae ukijua baada ya Hawa magaidi kuondolewa anaekuja kutawala hapo Iran ni aliekuwa mtoto wa mfalme aliepinduliwa Reza Pahlavi

Serikali ya kidemokrasia iliyochaguliwa na wananchi hua inanyonga Raia wake wakifanya maandamano?ambalo ni haki ya kidemokrasia?
Hujui unachokiongea wewe
IMG_20260405_155804.jpg
 
Wewe sidhani hata ulifika form 4. Hivi hapa Tz hamna wanafunzi wanaokuja kusoma kutoka Europe na Marekani ? Kwa nini waje huku? Elimu ni kitu chengine na hilo chipwi lako ni jambo jengine. Waislamu wamehimizwa waitafute elimu hata China . Kwani wakati wa Mtume China kulikuwa Kuna waislamu?
Tatizo ni kwa nini wawapeleke kwenye nchi wanayoiita ibilisi?
wanaimba kila siku death to America,kumbe nyuma ya pazia wanawakimbiza watoto wao wakapate elimu bora US na maisha Bora yenye uhuru
Huku watoto wa masikini wa Iran wakiwatesa kwa sheria kali shenzi za kidini na kuwanyonga

Hawa akili zao hazina akili ndio maana wanaliwa vichwa kizembe kila kukicha 😀

IMG_20260405_155804.jpg
 
Tatizo ni kwa nini wawapeleke kwenye nchi wanayoiita ibilisi?
wanaimba kila siku death to America,kumbe nyuma ya pazia wanawakimbiza watoto wao wakapate elimu bora US na maisha Bora yenye uhuru
Huku watoto wa masikini wa Iran wakiwatesa kwa sheria kali shenzi za kidini na kuwanyonga

Hawa akili zao hazina akili ndio maana wanaliwa vichwa kizembe kila kukicha 😀

Mbona unataja wa past, wa sasa hivi ni yupi?
20260405_132413.jpg
 
Wewe sidhani hata ulifika form 4. Hivi hapa Tz hamna wanafunzi wanaokuja kusoma kutoka Europe na Marekani ? Kwa nini waje huku? Elimu ni kitu chengine na hilo chipwi lako ni jambo jengine. Waislamu wamehimizwa waitafute elimu hata China . Kwani wakati wa Mtume China kulikuwa Kuna waislamu?
IMG_20260406_111549.jpg
 
Punguza unafiki kama maandamano ndio sababu, hata ICE kule US imeteka watu 70,000 na imeua zaidi ya 14 tokea January 2026. Ila sababu ni US hamuwezi sema kitu ila ingekua Iran mngesema ni sharia za kiislam!!

Nimekuwekea link kule juu umepita kama hujaiona
IMG_20260406_111529.jpg
😀😀😀 maostaadh watoto wao wanaonyesha matiti tu wakiwa Iran wanajifanya wafia Dini 😀 🤠
 
Mbona unataja wa past, wa sasa hivi ni yupi?
IMG_20260406_111549.jpg
😀😀😀 watoto wao Wanaonyesha matiti tu,Maayatolah wakiwa Iran wanajifanya kumjua Allah wao huku wanaua akina mama na mabinti wa kimasikini wa Iran kwa kuonyesha nywele tu 🙆

Hawa maayatolah ni takataka
 
Tatizo ni kwa nini wawapeleke kwenye nchi wanayoiita ibilisi?
wanaimba kila siku death to America,kumbe nyuma ya pazia wanawakimbiza watoto wao wakapate elimu bora US na maisha Bora yenye uhuru
Huku watoto wa masikini wa Iran wakiwatesa kwa sheria kali shenzi za kidini na kuwanyonga

Hawa akili zao hazina akili ndio maana wanaliwa vichwa kizembe kila kukicha 😀

View attachment 3568223

Wewe Nani wa kuwapangia watu wawapeleke watoto wao wanapotaka? Kwani dini imewakataza ?
Nimekuonyesha wengi wanasilimu kwa waislamu kwenda hizo nchi. Nimekuambia kuwa Mtume kahimiza kutafuta elimu hata China. Husomi umekazania ubishi.
Hayo maisha unayoyaita freedom ya wanawake Hao wamarekani wenyewe wanayakataa wanasema ni changa la macho.

Chuki zote kwa Iran zilianzia hapa



View: https://youtube.com/shorts/8UfZd3PckiI?is=KftkOzlBVuTuwd8F
 
Back
Top Bottom