B I N A M U
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 1,495
- 2,393
ʎlʇɔɐxǝMkuu sio kosa lako, ukiona hivyo ujue umri unakutupa mkono.
Hizo wao kwa sasa ndio swaga zao, kikubwa tafuta wakubwa wenzio achana na hao watoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye mwenyewe hana adabu ya maandishi yake halafu anakerekwa na uandishi wa wengine
Ila wanaoandika xaxa,mologolo,mlembo wanakera kinyama
Xaxa xixta hta kma uxipojb unamkomoa nani?Ila kiukweli inakera,,mi huwa sijibu message kabisa
Cjamb xixta,mambhujambo mlembo
Joanah na Khantwe mkalale jomoniCjamb xixta,mamb
Kwan mda w kulal c bdo?Joanah na Khantwe mkalale jomoni
Hili nalo ni janga jamani
xawa baxiKwan mda w kulal c bdo?
ndio nyie akina miquel mnayemchukiza huyu jamaa na hizo term zenu ( jomon)Jomoni