Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 18,286
- 37,008
Ntakua makini kiasi Asante sanaaaaaa ndugu kwa kujali kwako juu yanguHuyu atakutapeli
Ana multiple IDs
Kuwa makini,
Ngoja nifute comment yangu.
Ntakua makini kiasi Asante sanaaaaaa ndugu kwa kujali kwako juu yanguHuyu atakutapeli
Ana multiple IDs
Kuwa makini,
Mtu kama huyu anaweza hata kujipiga makeup na kujifanya mwanamke ili apate hela, harafu wakati wa game akadanganya yupo period kwaiyo mbele haiwezekani. Option inayobaki hapo ni muhuni kuingia mtaroni.
Astakafuliah ,usikufuru SHEIKH ,yaani unamuweka SAMUYA na MITUME ya Mwenyezi Mungu?
Kama umefika umri wa kuona wajukuu halafu ukaishia kuwa zee pumbavu kiasi hiki, basi wajukuu hawana cha kujivunia!Njia ya uhakika ya kuwapambania GEN Z ni kuhakikisha , tunawazuia kufanya vurugu na maandamano ili wasiuliwe na kupata ulemavu au kuishia magerezani Kama sisi tulivyoishi na kuwaona wajukuu na wao wanabidi kuishi sisi watu wazima tuache ubinafsi mbona watoto wetu tunawalinda na hawakuuliwa ile trh 29/10 iweje tupende kuona watoto wa wenzetu tukiwatuma barabarani wazazi tukatae hii dhambi
Ni uzalendo tu 🇹🇿Nilitegemea namba 3 ningeona wazazi wako. Hivi huwa mnapewa nini kikubwa hasa hadi kutukuza binadamu wenzenu kiasi hicho? Au mnapewa mishahara na posho kufuru labda.
Hakika