Binadamu tunalazimisha kuwa na mwenzi mmoja?

Laswell

Member
Feb 23, 2024
37
35
Salaam wandugu,

Kumekuwa na malalamiko mengi sana yatokanayo na mambo ya mahusiano,uchumba na ndoa. Malalamiko haya mara nyingi yamesababishwa na kitu kinachoitwa UAMINIFU. Mwanaume anataka mke awe wakwake peke yake na mwanamke anataka mume awe wakwake peke yake.

Sasa hayo yameshindikans ndomana msamiati wakukosa Uaminifu unaibuka na majanga yanajitokeza. Swali ni je, asili ya binadamu nikama wanyama/viumbe wengine kutowekewa mipaka kwenye mahusiano ila tunalazimishia au nini kimejificha ?
 
Hayo ni mambo ya wazungu. Walianza na mke mmoja sasa wanasema ni sahihi kuoa mwanaume mwenzio.

Hii itapigiwa kelele na mwishowe itakuja kuonekana ya kawaida kama ya mke mmoja.

Mimi binafsi I don't buy that stupidity. Nakua na mwanamke mmoja amekua mama yangu?
Afadhali hata wazungu wanakuwa na mwenza mmoja wakichokana wanapigana chini kwa amani maisha yanaendelea.
Sisi tunalazimishana kubaki kwenye ndoa na kama mkifanikiwa kuachana basi jamii nzima inawatolea macho as if mmeua.
 
Magonjwa? Familia? Utawezaje kuwa na wanaume 10 na wote uwazalie, iyo familia si itakuwa ya hovyo hovyo hata mnyama ambae hana utashi haishi hivi.
Sio lazima.kuwa na wanaume 10 na sio lazima kila mwanaume umzalie. But once in a while mtu ukiteleza isiwe dhambi.
Kuwa na wanaume/wanawake wengi kiasi hicho ni nadra sana kutokea kwa binamu wa kawaida ingawa pia inawezekana. Ila wawili watatu sio mbaya😅
 
Back
Top Bottom