Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,897
- 3,705
Binadamu ni resonating frequency
Ni sahihi kabisa.Muheshimwa umenifikirisha sana! Sisi pia ni aina ya funza out of something![]()
Hao jamaa japo sifahamu majina yao halisi ila nina hakika ndio waletao kizungumkuti cha dini na maarifa mengi
Ndio waanzilishi wa dini za kiabrahamu nikiwa na maana ya uyahudi,ukristo na uislamu
Vitabu vya dini hizo ukivisoma bila wenge la kutafsiriwa maana na wanaojiita marabi unatoka na bonge la picha
Tena ukienda kuongezea na vedas za kihindu bila kusahau Tao teaching lazima uwe Guru
ni wanyama tulio pandikizwa kutoka katika utawala wa lyrans humanoids,...
Yamepeleka wapi Hisia zako..?(Kwa uchache)Haya maelezo yamenikumbusha mbali sana,ila cha msingi niko hapa.
Nimesoma tafsiri tu na nimetoka na yale niliyoona muhimu kwanguUmeshawahi kusoma kitabu cha uislamu katika lugha yake ya asili(Kiarabu) na ukatoka na kitu ?
Weka vizuri swali lako halielewekiPili,naomba unipe uthibitisho juu ya hao jamaa unao dai ndio waanzalishi wa hizi dini,hasa Uislamu ? Ilikuwa lini walianzisha dini na kwa sababu gani ?
Yamepeleka wapi Hisia zako..?(Kwa uchache)
Nimesoma tafsiri tu na nimetoka na yale niliyoona muhimu kwangu
Weka vizuri swali lako halieleweki
Unataka uthibisho wa kujua lini walianzisha Dini kwa ujumla au dini yako wewe ya kiislamu..? Sababu zitategemea na unachotaka kufahamu
Unaweza kuweka bayana ujinga tunaoandika..?Nataka kujua juu ya dini yangu ya Uislamu.
Hili ndio tatizo ninalo liona kwenu,laiti kama mngeiacha elimu ikafanya kazi na kuchukua nafasi yake,huu ujinga mnao uandika usingekuwepo.
unaliza maswali yasiyo na tija_iwe ya kingereza au kigiriki au kiswahili inasaidia nini..! Au unakusudia nini.?Naendelea hapa,umesoma tafsiri ya nani ? Na ilikuwa kwa lugha gani ? Sababu huko juu ulimili kwenye lugha asili ? Sababu hata hizo tafsiri nazo zipo zilizo katika lugha asili.
Kama unaamini hivyo kwanini sasahivi haiwezekani kukatokea matabaka namaanisha endapo watu wawili weusi wakazaa mzungu au mchina!?anza kufuga kuku wawili jike na dume
vifaranga vitakupa majibu.
bado hii mabadiliko yanatokea..ila kwa polepole.Kama unaamini hivyo kwanini sasahivi haiwezekani kukatokea matabaka namaanisha endapo watu wawili weusi wakazaa mzungu au mchina!?
Nipe mfano halisi wa hayo mabadiliko kwasasa.bado hii mabadiliko yanatokea..ila kwa polepole.
Nipe mfano halisi wa hayo mabadiliko kwasasa.