Binadamu katoka wapi?

Binadamu katoka wapi?

than whats wrong with these chimpanzee and gorrilas still not be ableto became uman beings and i was thinking maybe now they will be more of than human being form the gorillas
so when somebody tells u came from snake will you believe too?
 
Ukisema Bin Adam - Binadamu - maana yake mtoto wa Adam sasa mtoto wa Adam anatokana na nani?
Nadharia (na siyo nadhalia) ambayo wewe unayoisema kuwa binadamu wametokana na Adam na Hawa hiyo haipo, kwani vitabu vya dini ndivyo vilivyobainisha kuwa watu wa mwanzo kuumbwa na Mungu ni Adam na Hawa. Hiyo Nadharia ya kuwa mwanadamu kapitia hatua mbalimbali mpaka kuwa binadamu kamili hiyo ndiyo nadharia kwani ushahidi wake hauna mashiko ni (hypothesis) nadharia tu kama nadharia nyingine. Hivi miaka mingapi imeshapita mbona masokwe yapo kama yalivyo na binadamu wapo kama walivyo hawajabadilika!?
Hivi kuamini binadamu kuweza kubadilika rangi kwako ni vigumu lakini unaweza kuamini sokwe anaweza kubadilika kuwa binadamu!

Kwanini watu wasioamini uwepo wa Mungu mnawafungamanisha na nadharia ya evolution..!? Kwani hakuna zengine..?
 
Jibu maswali haya kwanza :
1.Je tunda lililoiva mtini likadondoka lisipookotwa linaoza na katika kuoza huko hutokea wadudu (funza) sasa Je wale funza walioozesha lile tunda wametokea wapi?
2.Je funza waliotokea na wakati embe ikioza ni sawa na wale waliotekezea kwenye papai,nanasi,pera n.k?
3.Kutokana na tofauti ya hali ya hewa katika maeneo mbalimbali ya dunia.. Je miti ya matunda yaliyopo Africa ni sawa na miti iliyoko Ulaya na Asia?

Ukijibu maswali haya utagundua chanzo cha utofauti uliopo.. Hatua za mabadilko ya binadamu ni ya kila aina ikiwa ni pamoja na wanyama na viumbe wengine wote.
Nimeupenda sana mfano huu
 
than whats wrong with these chimpanzee and gorrilas still not be ableto became uman beings and i was thinking maybe now they will be more of than human being form the gorillas
Macro-evolution tells the answer:
They need millions of yrs to be transformed to sapiens species.
They vanish before experiencing this macro-evolution i don't think if they live those millions of yrs that worth to make them getting evolved from genus (erectus, habilis etc) to out genus sapiens.


Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Binadamu aliumbwa na Mungu kwa kutumia udongo. Ushahidi wake upo wazi saana. Angalieni idadi kubwa ya wanawake wajawazito Mara nyingi hupenda kutafuna udongo wawapo katika hali hiyo na wanapokaribia kujifungua huacha. Hii hudhihirisha kuwa udongo ni malighafi muhimu ktk uumbaji Wa kiumbe kipya (binadamu). Ningependa mjadala huu ufungwe, maana tunaweza kutafuta reference za kila aina lakini ukweli halisi ni huu. Nawasilisha.
NYALENGO
 
Na kwa kuongezea,
Hapo kale kulikuwa na species nyingi za homo na wakati Homo sapiens akitokea ali co exist pamoja na species nyingine kama neanderthals huko Ulaya. Kwa ufupi zamani kulikuwa na species nyingi sana za binadamu.
Presently kuna species moja tu ya binadamu duniani kote ambayo ni Sapiens. Hizo species nyingine zilivyotoweka kabisa kwenye uso wa dunia mimi na wewe hatufahamu. Hakuna anayefahamu.
Mbona umeelewa halafu unajifanya hujaelewa mkuu?
 
Em chukueni hii 'thought experiment'

Fikiria wewe ni kiumbe fulani, ambaye hujawahi kuishi kabisa ulimwengu (universe) huu. You do not care about anything, bali unaviangalia vitu kama vilivyo tu. Sasa piga misele, ukikiangalia kila kitu kama ndo umekiona mara ya kwanza.
Ruksa kuunganisha na ideas ulizonazo tayari kama za kisayansi, ila jifanye kama ndio unaviona vitu hivi kwa mara ya kwanza.

Ukiona ngumu.
Tembea barabarani, halafu fikiria huwajui viumbe hivi (binadamu). Sasa waangalie kama unawaangalia kuku bandani. Judge them as you see them.

Hapo ndio utaelewa ukweli upo wapi. Kama ni mara yako ya kwanza, itakuwa ngumu kukubali unachokiona kama kilivyo. Ila fikiria tena, utaelewa.

Why this experiment?
Kuondoa upendeleo katika kuangalia mambo. Tupo biased pale tunapojaribu kujitafiti. Huu u-bias hauletwi na dini, bali upo ndani yetu sote. Tayari ndani yetu tunadhani sisi ni 'special' as if tuna historia isiyofanana na maada yoyote ile duniani.

Note:
This thought experiment might cause you a depression.
 
Historia hizi ni kujifariji/sarakasi a.ka panadol tu, hakuna jibu humo.
Ndugu yangu mbona kama umekata tamaa na mambo ya Mungu?
Samahani,umewahi kuwa mfuasi dhabiti wa dini yoyote?
 
Jibu maswali haya kwanza :
1.Je tunda lililoiva mtini likadondoka lisipookotwa linaoza na katika kuoza huko hutokea wadudu (funza) sasa Je wale funza walioozesha lile tunda wametokea wapi?
2.Je funza waliotokea na wakati embe ikioza ni sawa na wale waliotekezea kwenye papai,nanasi,pera n.k?
3.Kutokana na tofauti ya hali ya hewa katika maeneo mbalimbali ya dunia.. Je miti ya matunda yaliyopo Africa ni sawa na miti iliyoko Ulaya na Asia?

Ukijibu maswali haya utagundua chanzo cha utofauti uliopo.. Hatua za mabadilko ya binadamu ni ya kila aina ikiwa ni pamoja na wanyama na viumbe wengine wote.
Mkuu binadamu wote walitokana na Mtu mweusi.Mwafrika kumzaa Mzungu inawezekana,ila Mzungu kumzaa Mwafrika haiwezekani.Tofauti ni kuwa Mwafrika ana kitu zaidi kinaitwa Melanin,Mzungu ana upungufu wa hicho kitu.
 
Hao jamaa japo sifahamu majina yao halisi ila nina hakika ndio waletao kizungumkuti cha dini na maarifa mengi

Ndio waanzilishi wa dini za kiabrahamu nikiwa na maana ya uyahudi,ukristo na uislamu

Vitabu vya dini hizo ukivisoma bila wenge la kutafsiriwa maana na wanaojiita marabi unatoka na bonge la picha

Tena ukienda kuongezea na vedas za kihindu bila kusahau Tao teaching lazima uwe Guru
Mkuu leo ni mara 2 katika koment zako ninapata kitu kigeni ambacho nashindwa nianzie wapi kukifuatilia.

Last year nilikutana na koment yko yenye taswila ya namna hii, ninajaribu kuunagisha dot napata hisia kwamba kuna ABCD za kitu flani unazijua ila hupendagi tu kuanzisha nyuzi za kuelezea hizo mambo.

Nikitulia nitaku- PM.

NAPENDA SANA ELIMU MPYA KATIKA MAISHA YANGU.
 
Mkuu leo ni mara 2 katika koment zako ninapata kitu kigeni ambacho nashindwa nianzie wapi kukifuatilia.

Last year nilikutana na koment yko yenye taswila ya namna hii, ninajaribu kuunagisha dot napata hisia kwamba kuna ABCD za kitu flani unazijua ila hupendagi tu kuanzisha nyuzi za kuelezea hizo mambo.

Nikitulia nitaku- PM.

NAPENDA SANA ELIMU MPYA KATIKA MAISHA YANGU.

Mkuu hakuna ninachofahamu kwa undani_usijisumbue

Ila huwa napendelea kuweka ufahamu wangu Katika hali ya utupu wa fikra hivyo kuniwezesha kupokea taarifa tofauti tofauti bila kuwekea mipaka na kuzipangilia

Sera ya ufahamu wangu ni kuunga Doti, napenda udadisi na napenda kuambukiza mtu mwengine udadisi

Ufahamu wangu ni kama wa mtoto na natumia ile ability ya kuwa Empathy kuelewa mambo mengi kwa mapana

Hakuna kumbukumbu ninayoweka kwa kudhamiria kila kilochopo kwenye ufahamu wangu kinajiweka chenyewe mimi nashangaa tu nakumbuka

So Katika hali kama hii siwezi fundisha mtu labda kuamsha udadisi tu_ndilo ninaloweza
 
Mkuu hakuna ninachofahamu kwa undani_usijisumbue

Ila huwa napendelea kuweka ufahamu wangu Katika hali ya utupu wa fikra hivyo kuniwezesha kupokea taarifa tofauti tofauti bila kuwekea mipaka na kuzipangilia

Sera ya ufahamu wangu ni kuunga Doti, napenda udadisi na napenda kuambukiza mtu mwengine udadisi

Ufahamu wangu ni kama wa mtoto na natumia ile ability ya kuwa Empathy kuelewa mambo mengi kwa mapana

Hakuna kumbukumbu ninayoweka kwa kudhamiria kila kilochopo kwenye ufahamu wangu kinajiweka chenyewe mimi nashangaa tu nakumbuka

So Katika hali kama hii siwezi fundisha mtu labda kuamsha udadisi tu_ndilo ninaloweza
Nimekuelewa mkuu.
 
Jibu maswali haya kwanza :
1.Je tunda lililoiva mtini likadondoka lisipookotwa linaoza na katika kuoza huko hutokea wadudu (funza) sasa Je wale funza walioozesha lile tunda wametokea wapi?
2.Je funza waliotokea na wakati embe ikioza ni sawa na wale waliotekezea kwenye papai,nanasi,pera n.k?
3.Kutokana na tofauti ya hali ya hewa katika maeneo mbalimbali ya dunia.. Je miti ya matunda yaliyopo Africa ni sawa na miti iliyoko Ulaya na Asia?

Ukijibu maswali haya utagundua chanzo cha utofauti uliopo.. Hatua za mabadilko ya binadamu ni ya kila aina ikiwa ni pamoja na wanyama na viumbe wengine wote.
Muheshimwa umenifikirisha sana! Sisi pia ni aina ya funza out of something
 
Nadharia ya vitabu vya dini hasa uislam na ukristo ndio inadumaza fikra za watu wasiweze kutafuta asili ya mtu

Kitabu kama cha biblia kimejaa uwongo kimesheheni hadithi za kutunga ukija kitabu kama cha qurani hiko ndio hakijielewi kama kinaenda mbele au kinarudi nyuma kinadokoa dokoa stori za uwongo halafu ndio mtu anategemea eti majawabu ya kirahisi kuhusu asili ya mtu

Embu fikiria vichekesho hivi biblia na quran zinasema mtu alitokana na udongo

Magic + Udongo = Adam ..... eqn 1

Adam - Ubavu + Magic = Hawa
..... eqn 2

subst eqn 1 into 2

Magic + Udongo - Ubavu + Magic = Hawa

Hawa = 2Magic + Udongo - Ubavu ... eqn 3

Thats why wanawake wanapenda ushirikina sana kwakuwa ktk eqn no 1 Adam kuna single magic lakini katika eqn 3 ya Hawa kuna double magic

Swali la kujiuliza kama mtu alitokana na udongo kama biblia na quran zinavyosema Je wananyama wengine wenye kufanana vinasaba na mtu mbona wao hawakuumbwa kwa Udongo?

Mnyama kama sokwe anafanana kila kitu na mtu lakini mbona wao hawakotokana na udongo?

Jibu biblia na quran ni hadithi za kale ambazo hazina mantiki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom