Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,955
- 8,144
Katika nadhalia ya Dini kwamba binadamu katokana na Adam na Hawa hii haingii hakilini kwangu kwanini kuwepo matabaka ya rangi na kuwepo na jamii tofauti kwanini tusiwe wa rangi moja kama ni weupe au uweusi haiwezekani mzungu akazaa mtoto mweusi au Mwafrika azae mtoto mzungu.
Nadhalia ya pili kwamba binadamu katokana mabadiliko ya kimaumbile hii ina mashiko kiasi kikubwa nikichukua ushahidi wa fuvu la kale pale Olduvai gorge ni wazi binadamu kapitia katika hatua mbali mbali mpaka kuwa binadamu kamili..
Nadhalia ya pili kwamba binadamu katokana mabadiliko ya kimaumbile hii ina mashiko kiasi kikubwa nikichukua ushahidi wa fuvu la kale pale Olduvai gorge ni wazi binadamu kapitia katika hatua mbali mbali mpaka kuwa binadamu kamili..