Bimmer na Landcruiser V8

Hahahahahahah watu wanataka unafuu kwenye maintanance maana ni kazi yako kama mmiliki!

Advantage ya Toyota hata kama kifaa ni bei ghali ila kipo! Hutamaliza mji kukitafuta hela uwepo nayo tu unakipata! Ila mjerumani ni ghali na hukipati kwa urahisi.

Uwezekano wa breakdown ni mkubwa kwa german makes hazitaki shuluba gari zake! Ila Toyota hata ikiwa haina oil unaweza weka mafuta ya safi ukaendesha from home to garage!
Hahaha sure aisee.. Uingie gharama ya muda.. Mafuta.. Na mtengenezaji akiona logo nje ya mjapani anabadilisha bei ya ufundi..!
 
Kwa hio kuna uwezekano hizi top tier co. Zote zikawa na washauri wa aina moja sio?Kule juu hukuona nimekwambia field zimejaa Toyota na Nissan tu.?

Na nilikwambia takataka za ujerumani huko majumbani makwao wanazo wamenunulia wake zao/michepuko lkn hawana habari ya kuja nazo field.
Mkumbushe tu taasisi zote za kimataifa , UN , UNHCR, FAO etc , zina makao makuu ulaya ,lakini wanapotaka kununua gari kwa ajili ya mission zao , wananunua Toyota.
Waasi , Taliban,etc wana cash za kutosha kununua brand yoyote ya gari wanayotaka , lakini kwenye nission zao wananunua Toyota.

Germany cars , hata trucks zao zinakupa umaarufu na comfortability ,but not reliability ,
Toyota might look old fashioned and slower but you are guaranteed that it wont refuse to start the day your pregnant wife is gong to deliver.
 
Ahhh ok.. Sasa zile number Ds.. V8s.. Harries.. Vanguards ulizosema zipo juu ya mawe wamiliki wake wameshindwa bei ya mafuta wakaamua wazipandishe juu ya mawe!!!!?

Aisee usione watu wanakimbilia Toyota.. Sio kwamba haitumii mafuta.. Sio kwamba hakuna gari za mzungu zinakula mafuta kidogo zaidi ya Toyota.. Watu wanakimbilia reliability.. Kutengeneza gari ni gharama zaidi unavyowaza..!

Kwenda petrol station hata mnunuaji wa kerosene anaenda ila garage huendi kama hutumii petrol au diesel..!
oil is cheap than metal, gari za mzungu zina mbio na fuel economy nzuri, lakini sii reliable.
Kwa mtu ambaye anatumia gari kama tool, au workhorse reliability ya gari huwa ni first priority.
 
Mkumbushe tu taasisi zote za kimataifa , UN , UNHCR, FAO etc , zina makao makuu ulaya ,lakini wanapotaka kununua gari kwa ajili ya mission zao , wananunua Toyota.
Waasi , Taliban,etc wana cash za kutosha kununua brand yoyote ya gari wanayotaka , lakini kwenye nission zao wananunua Toyota.

Germany cars , hata trucks zao zinakupa umaarufu na comfortability ,but not reliability ,
Toyota might look old fashioned and slower but you are guaranteed that it wont refuse to start the day your pregnant wife is gong to deliver.
Napinga hoja..
Makao makuu ya UN hayapo Ulaya..!!

Naunga hoja..
Reliability kwa Mjapani..!
 
oil is cheap than metal, gari za mzungu zina mbio na fuel economy nzuri, lakini sii reliable.
Kwa mtu ambaye anatumia gari kama tool, au workhorse reliability ya gari huwa ni first priority.
Yes.. Metal ni gharama zaidi..
Ndio maana nimemuelezea mchangiaji hapo juu cost za maintenance sio kujaza mafuta..!
Kujaza mafuta ni running cost..!
 
Mkumbushe tu taasisi zote za kimataifa , UN , UNHCR, FAO etc , zina makao makuu ulaya ,lakini wanapotaka kununua gari kwa ajili ya mission zao , wananunua Toyota.
Waasi , Taliban,etc wana cash za kutosha kununua brand yoyote ya gari wanayotaka , lakini kwenye nission zao wananunua Toyota.

Germany cars , hata trucks zao zinakupa umaarufu na comfortability ,but not reliability ,
Toyota might look old fashioned and slower but you are guaranteed that it wont refuse to start the day your pregnant wife is gong to deliver.
Its never gonna fail you! Thats what they were built for.
 
Inategemea unaharibu nini, kumwaga oil sio sababu ya kupandisha gari juu ya mawe. Kukiwa na serious repair na huna hela hapo ndo shida inaanzia.

Niliongea vile ku-quote screenshots ulizoweka zinazoonyesha oil change recomendation. Ndo nikasema hiyo ni ndogo kuliko mafuta unayotumia kila siku.
Kumbuka mwenye toyota anaweza kuweka 20W 50 na gari ikatembea freshi tu! Hebu wewe mteja wa Liqui Molly weka 20w50 tuone 😅!

Mainatanace ya toyota unaweza fanya kwa laki tu ikiwa ni filters na oil pamoja na cleaners! Ila BMW gani utaweka vyote kwa laki 😅
 
Kumbuka mwenye toyota anaweza kuweka 20W 50 na gari ikatembea freshi tu! Hebu wewe mteja wa Liqui Molly weka 20w50 tuone !

Mainatanace ya toyota unaweza fanya kwa laki tu ikiwa ni filters na oil pamoja na cleaners! Ila BMW gani utaweka vyote kwa laki

Kwahiyo gharama za oil service ya BMW ni kubwa kuliko fuel unayoitumia kwa hiko kipindi?
 
Kumbuka mwenye toyota anaweza kuweka 20W 50 na gari ikatembea freshi tu! Hebu wewe mteja wa Liqui Molly weka 20w50 tuone 😅!

Mainatanace ya toyota unaweza fanya kwa laki tu ikiwa ni filters na oil pamoja na cleaners! Ila BMW gani utaweka vyote kwa laki 😅
Aisee kuna BMWs oil recommended ndio hiyo 20w50..!
Hata mimi ndio oil natumia..!
 
Kwahiyo gharama za oil service ya BMW ni kubwa kuliko fuel unayoitumia kwa hiko kipindi?
Fuel sio gharama ya kulinganisha na oil..
Fuel ni kama LUKU.. Unalipa Kadri unavyotumia.. Usipotumia gari hakuna fuel cost.. Ila oil change interval haijalishi gari inatumika au vipi.. Hata gari ikipaki after miezi 6 mpaka mwaka oil inatakiwa ibadilike.. Oil ina life span..!
 
Sikudanganyi mkuu nilishakutana na hilux pickup imewekwa maji ya sabuni ya unga kwenye reservior ya mafuta ya breki na gari inakwenda Changanyikeni to Goba😅

Jaribu hilo kwenye BMW kisha utupatie mrejesho!
Sure, mwaka 2014 tulikuwa pori na Land Cruiser series 76 Hard Top. Tulitumia Sana povu la sabuni ya kipande na maji kama Brake Fluid.

Na Kuna siku spring za nyuma zilikatika ikabidi tufunge mti mbichi na kamba itusogeze Mjini.
 
Ziko vizuri kwa amenities na performance ila sio rugged kama Toyota! German are fancy cars. They are made to enhance driving experience with alot of techs.

Toyota are practical cars yani zimetengenezwa for the purpose of serving the need. Unataka kwenda point A to B without any issue na you wanna keep going then buy a Toyota. Wameamua kuzifanya gari zao kuwa exciting recently ila tofauti hio watu hawawezi iona kwa sababu wengi wanatumia gari za 2003-2010 kwa sasa!

Starting from 2015 experience ya Toyota imedrift kuwa bora zaidi wanaoinjoy ni wale wanaotumia gari recent models from Toyota. Pia wana luxury division ya Lexus ila hizi ni aghali sana wabongo wengi hawawezi afford ila ukipata lexus za toka 2013 ziko on par na many german cars in terms of comfort and ride quality.
Nakubali, LS ya 2013 comfort yake 5 series BMW haioni ndani.
 
Land cruiser alikua haba habari kabisa anaenda mwendo wa ku relax yani!

Ukute ile dereva anamuwahi boss ndio utajua hujuiyani anaelekea Dodoma kaambiwa saa 7 awe kafika hio chuma itavyotembea mzee kwanza inawashwa fog lights! Ikianza kuchapa lami ni mwendo wa masaa matatu tu hamna kuzi ataleta ushanta!
Sasa BMW x5 au x7 itakuwaje au Benz.
 
Back
Top Bottom