KndNo1
JF-Expert Member
- Oct 26, 2021
- 627
- 2,025
- Thread starter
- #781
Halafu mpaka leo High end cars zinafungwa mashine kubwa...
Hizo engines ndogo ni kwa vijana wa college.. Ndio utaendesha C class ya 1.8lts..ukishapanda cheo utatafuta S class engine kubwa.. Engine kubwa ni effortless kwenye kutengeneza power..yaani unaigusa pedal kidogo tuu chuma ina respond..!
Hata Toyota kwenye flagships zake haweki engines ndogo..!
Landcruiser ya engine ndogo.. Crown ya engine ndogo.. Huzikuti..!
Engine ndogo ni kwa ubahili wa kubana mafuta tuu..
Driving experience ya IST na Crown haziwezi kuwa sawa..
Hizo engines ndogo ni kwa vijana wa college.. Ndio utaendesha C class ya 1.8lts..ukishapanda cheo utatafuta S class engine kubwa.. Engine kubwa ni effortless kwenye kutengeneza power..yaani unaigusa pedal kidogo tuu chuma ina respond..!
Hata Toyota kwenye flagships zake haweki engines ndogo..!
Landcruiser ya engine ndogo.. Crown ya engine ndogo.. Huzikuti..!
Engine ndogo ni kwa ubahili wa kubana mafuta tuu..
Driving experience ya IST na Crown haziwezi kuwa sawa..