Bimmer na Landcruiser V8

Watu wamepaki maprado kama TRJ150 sababu ya kuburuza watakavyo.

Hilo LC200 ndio sitaki hata kulitaja.

Gari ya kuburuza utakavyo LC mkonge 70 series.
Kama huna hela ya kulimudu hata passo utaipaki😅!

Tatizo wabongo tuna tendency ya kuvimba hasa mtu awe na kamshara ka kuanzia 1.5m utashangaa kajitwika li Crown! Mafuta ya laki 6 kwa mwezi

Akitimuliwa kazini tu gari haitoboi 6 mos tayari screpa
 
Sasa cost ya kuhudumia Passo na cost ya kuhudumia v8 hazifanani.
Impliedly hio gari jamaa amenunua wakati hana income streams za uhakika! Gari inapotaka prompt service ukawa huna hela lazma ulipark otherwise utalikaanga!

Sasa regular maintance ya V8 oil na service ya filters inagonga 250K kwa mtu wa kawaida lazma iwe kipengele! Chukulia hilo unalifanya 3 times in a months kama mtu wa masafa sana hio ni hela ndogo?
 
Natumia app ya JF nikitaka kuona hiyo attachment iliyotumwa nafanyaje?
hili limekuwa ni tatizo mtambuka kwa developer wa application ya jamiiforum.

haiwezekeni app maarufu kama hii inashindwa kumuwezesha mtumiaji ku preview/download video attachment. binafsi nakereka sana.

halafu kuna wakati mpaka images ambazo zimekuwa attached, huwa zina shindwa kufunguka. inabidi utumie browser.

Maxence Melo tuonee huruma, kumbuka sisi ni wateja wako, plz solve tatizo hili haraka iwezekanavyo.
 
Nilichogundua ushabiki ndio umetawala humu,bmw 340i inazizidi land cruiser zote vxl v8 yaani petrol&diesel katika suala la speed kuanzia kwenye acceleration hadi top speed mfano 340i 0-60 ni 4.8 secs top speed ni 249km/h while vxl v8 0-60 ni 8.2 secs with 210km/h top speed,sasa huu ulinganifu unahusisha barabara ya chunya kwenda tabora au kwenye lami?!
 
Aisee 2 seconds sio mchezo..yaani kufumba na kufumbua upo 100..Kuna kitu kwenye magari kinaitwa 2 seconds barrier.. Jaribu kufuatilia uone kwanini it's nearly impossible kuvunja hiyo barrier ya 2 seconds..!

Tesla uliyoitaja ina hp zaidi ya Buku 1,000+hp.. Engine kubwa.. Hakuna sedan inaweza pull 0-100 under 2 seconds..! Hata mbele iwe imechongoka kama sindano na nyepesi kama karatasi haiwezi..! Hata hiyo Tesla kuna special conditions..!

Uzito.. Aerodynamics.. Yes hizo ni sababu za gari kuchanganyana mapema.. Ila Engine ndio kila kitu..LC200 nzito karibu tani 3.. Ila moto wake unajulikana.. Ndio maana hata jina maarufu ni V8.. Sifa ya engine..!
Engine Tani tatu!!yaani engine inauzito zaidi ya Carina!!!
 
Nilichogundua ushabiki ndio umetawala humu,bmw 340i inazizidi land cruiser zote vxl v8 yaani petrol&diesel katika suala la speed kuanzia kwenye acceleration hadi top speed mfano 340i 0-60 ni 4.8 secs top speed ni 249km/h while vxl v8 0-60 ni 8.2 secs with 210km/h top speed,sasa huu ulinganifu unahusisha barabara ya chunya kwenda tabora au kwenye lami?!
340i hiyo gari engine kubwa.. Plus hapa tunaongelea vitu practical sio vya kusadikika.. Landcruiser ya mwaka 2020 kukutana nayo barabarani ni jambo la kawaida.. Ila hiyo 340i umeshawahi kuiona barabarani..!!
Tunalingalisha gari ambazo zipo mazingira yetu Tanzania..!
 
Hahahahaha! Sio Land Cruiser, labda hizo gari zenu za kizungu mnazoshabikia
Aisee hizo Landcruiser zinaharibika pia.. Ishu ni gari za serikalini.. Kuna taasisi kadhaa zimeshindwa kuzimaintain gari.. Zimepaki nyingi tuu.. Fanya kutafuta Landcruiser za serikali zilizokuja brand new 2014 mpaka leo ngapi bado zipo barabarani..
 
Gari gani inayocheua 600HP? Mmbongo anaweza kununua gari top spec toka bmw labda mtoto wa GSM ama bhakresa! Hizo M competition nyingi naona watu wanajibandikia vile virangi na badge

Wengi na vi bmw vyao wanajikunyata kwenye 1.5-3L engines zenye 160-250HP na wenye SUV wengi ni Diesel. Wabongo wenye bmw za 300HP plus ni wa kuhesabika. Halafu mtu anadiss Toyota yenye horsepower za humo humo !

1VD tu kwa kichaa cha 235HP lazma itawasumbua hao 3 series wenu wengi wa 1.5-2.0 excluding wenye ile 328i walau wanaweza kunyanyua shingo kidogo sababu engine yake inawahi kuchanganya twinturbo petrol ya 240HP at maximum rpm. Ila akiwekwa 200 series 3UR-FE petrol hamna choko yeyote wa BMW 3 series atakaesogeza pua including the M3! Watakaotamba ni kuanzia 400HP plus

Cruiser ya 1GR FE yenyewe tu mziki wake ni mnene sema sio nyingi ila hii engine iko kwenye prado za petrol baadhi na 70 series UTE! This masterpiece fucks all 3 series excluding the M3!
Huwa namshangaa sana mtu anaelinganisha 3 series na VXR.

Wakati BMW lineup ina 3, 4, 5, 6, 7, 8 series na x1, x2, x3, x4, x5, x6, x7 na sahivi inakuja x8. Bado hujaweka M series.

Out of all lineup, why 3 series?
 
Back
Top Bottom