Karikenye
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 564
- 279
Kaka Ndallo kuna fomu ulitakiwa ujaziwe kwenye hicho kituo ulichokosa huduma ukachukue hizo dawa kwenye duka ambalo limesajiliwa na NHIF, kila kituo cha matibabu ambacho kimesajiliwa na Mfuko huo kinatakiwa kuwa na fomu hizo wakiwa hawana dawa lazima ujaziwe ili ukachukue dawa ulizokosa kwenye pharmacy au duka la dawa muhimu lililosajiliwa na Mfuko!!Mimi ni mmoja wa familia ninayetumia kadi ya bima ya taifa, lakini chakushangaza huduma ya bure niliyoiona ni kua niliandikiwa dawa lakini dawa nilizopewa bure kupitia bima hii ya taifa ni Paracetamol lakini dawa nyingine nikaambiwa nikanunue!
Mnanishauri nini?