Wanajamii mpango wa bima kwa wote ni muhimu, lakini ni kwa njia zipi wananchi watachangia kiasi kilichopangwa na wizara ya afya.
Kwa maoni yangu watu wengi wana simu za mkononi, kwa nini isitafutwe njia ya kuuchangia mfuko wa bima kupitia mfumo wa simu ya mkononi, watu wengi wanasimu za mkononi, kinachatakiwa mfumo wezishi, utakawezesha wananchi kujichangia wenyewe.
Namba za simu zitumike Kama kitambusho mwananchi anapotaka huduma.
Kwa maoni yangu watu wengi wana simu za mkononi, kwa nini isitafutwe njia ya kuuchangia mfuko wa bima kupitia mfumo wa simu ya mkononi, watu wengi wanasimu za mkononi, kinachatakiwa mfumo wezishi, utakawezesha wananchi kujichangia wenyewe.
Namba za simu zitumike Kama kitambusho mwananchi anapotaka huduma.