Bima kwa wote imefikia wapi?

Bima kwa wote imefikia wapi?

Dr PL

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2024
Posts
661
Reaction score
1,005
Serikali iliahidi kuanzisha bima ya afya kwa wote ndani ya siku mia moja ya awamu ya sita.

Mwanzoni mwa mwaka huu nilisikia kwamba zoezi hilo limeanza kwa makundi maalumu na kaya masikini.

Hata hivyo mpaka sasa sijawahi kuona watu hao wakiandikishwa na kupatiwa bima.

Hata sisikii elimu na matangazo yakitolewa kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuhamasisha watu kujiandikisha na kupatiwa bima.

Kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii bado tunashuhudia baadhi ya watanzania wanaosumbuliwa na maradhi mbalimbali wakiomba kuchangiwa pesa ili waweze kwenda hospital kupata matibabu.

Huwa najiuliza kwa nini hawa wachache wanaoomba kuchangikiwa wasiwe wa kwanza kupatiwa hiyo bima ya kwa wote badala ya kusubiri michango?

Au ni bima kwa wote tulidanganywa tu, ipo kweli?

Je wewe mtaani kwako zoezi hilo limeanza?
 
ni malengo ya dunia/mabeberu SDG-3 sustainable development goal 3 agenda 2030.

ni takwa la kidunia

si unajua tunaelekea kuwa na ONE WORLD new world order,mifumo ya huduma zote itasomana,tutakuwa na MTAWALA mmoja,dini moja,pesa moja cardless,cashless digital currency...chapa ya mnyama 666 hutanunua wala hutapata huduma yoyote bila kuwa nayo.

inafanyiwa kazi itaanza na huduma za msingi za afya huduma za rufaa,zahanati,vituo vya afya hospitali za wilaya na endapo utapewa rufaa..itaanza na maeneo machache halafu itasambaa kuwafikia wote mpaka 2030.
 
ni malengo ya dunia/mabeberu SDG-3 sustainable development goal 3 agenda 2030.

ni takwa la kidunia

si unajua tunaelekea kuwa na ONE WORLD new world order,mifumo ya huduma zote itasomana,tutakuwa na MTAWALA mmoja,dini moja,pesa moja cardless,cashless digital currency...chapa ya mnyama 666 hutanunua wala hutapata huduma yoyote bila kuwa nayo.

inafanyiwa kazi itaanza na huduma za msingi za afya huduma za rufaa,zahanati,vituo vya afya hospitali za wilaya na endapo utapewa rufaa..itaanza na maeneo machache halafu itasambaa kuwafikia wote mpaka 2030.
Ambalo ni takwa t namba ngapi kwenye dira yetu 2050?
 
Serikali iliahidi kuanzisha bima ya afya kwa wote ndani ya siku mia moja ya awamu ya sita.

Mwanzoni mwa mwaka huu nilisikia kwamba zoezi hilo limeanza kwa makundi maalumu na kaya masikini.

Hata hivyo mpaka sasa sijawahi kuona watu hao wakiandikishwa na kupatiwa bima.

Hata sisikii elimu na matangazo yakitolewa kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuhamasisha watu kujiandikisha na kupatiwa bima.

Kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii bado tunashuhudia baadhi ya watanzania wanaosumbuliwa na maradhi mbalimbali wakiomba kuchangiwa pesa ili waweze kwenda hospital kupata matibabu.

Huwa najiuliza kwa nini hawa wachache wanaoomba kuchangikiwa wasiwe wa kwanza kupatiwa hiyo bima ya kwa wote badala ya kusubiri michango?

Au ni bima kwa wote tulidanganywa tu, ipo kweli?

Je wewe mtaani kwako zoezi hilo limeanza?
Babu Tale ndiyo anayehamasisha ,ngoja nimpigie simu.
 
Kuweni wapole kwanza basi, tumesimama kwa muda kisubiri maridhiano
 
Back
Top Bottom