Bima ya Afya chuo kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA)

ndege joni

JF-Expert Member
May 23, 2017
673
1,083
Habarini za muda huu wanajukwaa
Kwa wanaosoma chuo kikuu cha kilimo cha sokoine kuna tatizo gani kuhusu bima ya afya?

Mimi ni mfanyabiashara mdogo ila nasomesha mdogo wangu SUA ambaye pia ni mtumishi wa UMA (ana kipato kidogo kisichoweza kumsomesha) hivyo ananitegemea mimi kumsaidia kwa kiwango kikubwa.

Kwa leo nahitaji kueleweshwa kuhusu BIMA ya afya, maana anadai analazimika kulipia BIMA mara ya pili (Kiasi cha Tsh 50,000 wakati ana Kadi ya BIMA ya afya na anakatwa salary kila mwezi. Nikilinganisha na mdogo wangu mwingine wa UDOM yeye halipii kwa sababu ana Kadi ya BIMA ya afya. Sijajua kuhusu vyuo vingine zaidi ya hivyo.

Kwa waliopo SUA je hili ni kweli?
Pia sijataka kuongelea michango mingine ambayo haina maelezo (other fees) ambayo pia ni kubwa kuliko vyuo vingine. Na inadaiwa haijulikani matumizi yake.

Je ni sahihi kulipia huduma ya BIMA ya afya kwa mtindo huo? Kwa upande wangu naona ni wizi ambao Mh Raisi wetu wa wanyonge na Waziri wa Elimu anatakiwa atambue wizi huo
 
Habarini za muda huu wanajukwaa
Kwa wanaosoma chuo kikuu cha kilimo cha sokoine kuna tatizo gani kuhusu bima ya afya?

Mimi ni mfanyabiashara mdogo ila nasomesha mdogo wangu SUA ambaye pia ni mtumishi wa UMA (ana kipato kidogo kisichoweza kumsomesha) hivyo ananitegemea mimi kumsaidia kwa kiwango kikubwa.

Kwa leo nahitaji kueleweshwa kuhusu BIMA ya afya, maana anadai analazimika kulipia BIMA mara ya pili (Kiasi cha Tsh 50,000 wakati ana Kadi ya BIMA ya afya na anakatwa salary kila mwezi. Nikilinganisha na mdogo wangu mwingine wa UDOM yeye halipii kwa sababu ana Kadi ya BIMA ya afya. Sijajua kuhusu vyuo vingine zaidi ya hivyo.

Kwa waliopo SUA je hili ni kweli?
Pia sijataka kuongelea michango mingine ambayo haina maelezo (other fees) ambayo pia ni kubwa kuliko vyuo vingine. Na inadaiwa haijulikani matumizi yake.

Je ni sahihi kulipia huduma ya BIMA ya afya kwa mtindo huo? Kwa upande wangu naona ni wizi ambao Mh Raisi wetu wa wanyonge na Waziri wa Elimu anatakiwa atambue wizi huo
Mkuu mimi nimemaliza chuo cha Sua kuhusu hii issue ya Bima kiukweli hata sis ilituchanganya tulipofika mwaka 2015 pale mazimbu campus. Walichokisema wao n kwamba swala bima insurance lazima ulipie (compulsory) kama michango mengine bila kuangalia kama unatumia bima yako ya awali ama hauna! Kwa mfumo ambao niliuacha kama hauna bima ya taifa ulikuwa na option ya either kuilipia bima ya sua (SHIF) 50,000/= PIA Kama unahitaji bima ya taifa( NHIF) 50,0400 JUMLA KWA ANAYETAKA BIMA YA TAIFA NA HYO YA SUA YA LAZIMA N 100,400/=.
KWa yule mwenye bima ya taifa bado huo mchango wa bima ya sua haukwepeki kwake na aspolipia hataweza kusajili course zake kwenye system.

Kuhusu other fees ya sua kuwa kubwa ukilinganisha na vyuo vingine hii nadhan kila chuo kina mahtaji yake hivyo n ngumu kuifanya sua ichangishe michango sawa na UDSM.
HIVYO HYO HELA MSAIDIE AILIPE TU AKISHINDWA KULIPIA UE HATAIONA ITAKULA KWAKE MKUU!
 
Mkuu mimi nimemaliza chuo cha Sua kuhusu hii issue ya Bima kiukweli hata sis ilituchanganya tulipofika mwaka 2015 pale mazimbu campus. Walichokisema wao n kwamba swala bima insurance lazima ulipie (compulsory) kama michango mengine bila kuangalia kama unatumia bima yako ya awali ama hauna! Kwa mfumo ambao niliuacha kama hauna bima ya taifa ulikuwa na option ya either kuilipia bima ya sua (SHIF) 50,000/= PIA Kama unahitaji bima ya taifa( NHIF) 50,0400 JUMLA KWA ANAYETAKA BIMA YA TAIFA NA HYO YA SUA YA LAZIMA N 100,400/=.
KWa yule mwenye bima ya taifa bado huo mchango wa bima ya sua haukwepeki kwake na aspolipia hataweza kusajili course zake kwenye system.

Kuhusu other fees ya sua kuwa kubwa ukilinganisha na vyuo vingine hii nadhan kila chuo kina mahtaji yake hivyo n ngumu kuifanya sua ichangishe michango sawa na UDSM.
HIVYO HYO HELA MSAIDIE AILIPE TU AKISHINDWA KULIPIA UE HATAIONA ITAKULA KWAKE MKUU!
Anadai kuwa hiyo other fees ni 214,000/= kwa mwaka wa kwanza na wa pili ila mwaka wa tatu ni 93,000/= naona ni nyingi sana hii kiongozi.

Sent from my SM-J200G using JamiiForums mobile app
 
Dah nilidhani bima ya sua inawahusu wafanyakazi tu, kumbe mpaka wanafunzi. Ndiyo maana wafanyakazi wa sua na wanafunzi wakiugua huduma zake huwa nzuri sana kuzidi chuo chochote. Sema hiyo sheria yao ya ndani ya bima waliongeza wanafunzi ili kunenepesha mfuko kitu ambacho kinaweza kuwa siyo sahihi au la inawezekana kuna wapiga dilu kwani hakuna sheria iliyokubwa serikalini zaidi ya NHIF,
 
Dah nilidhani bima ya sua inawahusu wafanyakazi tu, kumbe mpaka wanafunzi. Ndiyo maana wafanyakazi wa sua na wanafunzi wakiugua huduma zake huwa nzuri sana kuzidi chuo chochote. Sema hiyo sheria yao ya ndani ya bima waliongeza wanafunzi ili kunenepesha mfuko kitu ambacho kinaweza kuwa siyo sahihi au la inawezekana kuna wapiga dilu kwani hakuna sheria iliyokubwa serikalini zaidi ya NHIF,
Mkuu hili jambo la kuwa na bima ya NHIF kwa wanafunzi wa sua mwanzon halikuwepo ila kutokana na sababu moja mbili ilipelekea kuongezwa kwa mfuko huo chuon!.
1. Bima ya chuo cha Sua SHIF ilikuwa inatumika ktk hospital mbili tu yaan ya chuon pamoja na hospitali ya mkoa na huduma haikuwa nzuri hivyo ilipelekea watu kulaumu sana na kipind hicho ilikuwa shiling 60,000/=
2. Bima ya SHIF ilikuwa haitumik nje ya mkoa wa morogoro wala private hivyo wanafunzi tulikubaliana kuja na option 2 mtu achague bima ipi anahtaji japo bei ilikuwa 50400/= ili bima hii ya NHIF impe uhuru mwanachuo wa sua kutibiwa popote pale atakapo kuwa.
Shida ilikuja pale management ilipokomalia bima ya chuo lazima ichangiwe 50,000/= badala ya 60,000/= hii ilichanganya watu ila huduma ziliboreshwa sio kama zamani.
 
Anadai kuwa hiyo other fees ni 214,000/= kwa mwaka wa kwanza na wa pili ila mwaka wa tatu ni 93,000/= naona ni nyingi sana hii kiongozi.

Sent from my SM-J200G using JamiiForums mobile app
Mkuu pale chuon michango hii ilianza kupanda mwaka 2016/2017 japokuwa mimi nililipia 110,000/= mwaka 2015 lakin kadri unavozidi kuendelea na mwaka wa pili michango hupungua kwa kias flan hata accommodation wao first year hulipia hela nying inaweza kuwa 90,000/= second year 81,000/= kadhalika na other fees !
 
Mkuu hili jambo la kuwa na bima ya NHIF kwa wanafunzi wa sua mwanzon halikuwepo ila kutokana na sababu moja mbili ilipelekea kuongezwa kwa mfuko huo chuon!.
1. Bima ya chuo cha Sua SHIF ilikuwa inatumika ktk hospital mbili tu yaan ya chuon pamoja na hospitali ya mkoa na huduma haikuwa nzuri hivyo ilipelekea watu kulaumu sana na kipind hicho ilikuwa shiling 60,000/=
2. Bima ya SHIF ilikuwa haitumik nje ya mkoa wa morogoro wala private hivyo wanafunzi tulikubaliana kuja na option 2 mtu achague bima ipi anahtaji japo bei ilikuwa 50400/= ili bima hii ya NHIF impe uhuru mwanachuo wa sua kutibiwa popote pale atakapo kuwa.
Shida ilikuja pale management ilipokomalia bima ya chuo lazima ichangiwe 50,000/= badala ya 60,000/= hii ilichanganya watu ila huduma ziliboreshwa sio kama zamani.
Ila kwa sasa kama hauna bima ya NHIF kwa wanaosoma sua wanalipa 100,000/=. Kwa wenye bima ya NHIF ndio wanalipa 50,000/=. Mana yake wanachangia mara mbili, inayokatwa kwenye mishahara yao na hiyo 50,000/= wanaolipia sua. Sijajua kwa nini inakuwa hivyo. Maana yake wanataka kusema serikali haitoi huduma nzuri kuliko wao?
 
Mkuu pale chuon michango hii ilianza kupanda mwaka 2016/2017 japokuwa mimi nililipia 110,000/= mwaka 2015 lakin kadri unavozidi kuendelea na mwaka wa pili michango hupungua kwa kias flan hata accommodation wao first year hulipia hela nying inaweza kuwa 90,000/= second year 81,000/= kadhalika na other fees !
Kwa sasa naona hali iko tofauti. Mwaka wa tatu pekee ndo wanalipa 93,000/= other fees. Wengine wote ni 214,000/=

Ambayo ni pesa kubwa sana kwa sasa na hali ya maisha ya pale.
 
Iko hivo ila NHIF sio lazima kuwa nayo kama hauna hela hyo but hyo Bima ya Sua n lazima kwa hyo mtu anaweza akatumia bima ya sua tu akalipia 50,000/= na maisha yakasonga mbele tu . Ila ukihitaji na Bima ya NHIF hapo lazima ulipie hela nyingine
Ila kwa sasa kama hauna bima ya NHIF kwa wanaosoma sua wanalipa 100,000/=. Kwa wenye bima ya NHIF ndio wanalipa 50,000/=. Mana yake wanachangia mara mbili, inayokatwa kwenye mishahara yao na hiyo 50,000/= wanaolipia sua. Sijajua kwa nini inakuwa hivyo. Maana yake wanataka kusema serikali haitoi huduma nzuri kuliko wao?
 
Back
Top Bottom