Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,955
- 16,006
hivi bugati inaeza ikawa ni ela za madafu shingap
We achana na hayo makitu tujadili shemeji anatuachaje...
hivi bugati inaeza ikawa ni ela za madafu shingap
Habari Za Muda Wana Jf Nina Habari Nimezisikia Chini Ya Kapeni Kuwa Bwana Mkubwa C.E.O Wa Dellina Mr Davis Mosha Amenunua Gari Aina Bugati? Je Ni Za Kweli Maana Huyu Bwana Mkubwa Kwa Magari Ya Nadhani Anaongoza
hivi bugati inaeza ikawa ni ela za madafu shingap
Hata akinunua ndege, sisi yatuhusu nini kama bado Watanzania wengi (pengine wakiwepo baadhi ya ndugu zake yeye mwenyewe) wanaishi katika lindi la umasikini? Yanayotuhusu sisi Watanzania hatuyasemi, yanayowahusu watu binafsi ndo tuyavumishayo vijiweni!
We achana na hayo makitu tujadili shemeji anatuachaje...
Ni kama billion 5.duniani wanaomiliki hawafiki 200.
Haya weeeee, mungu tuone na sie ...
Hahahaha Hamna Bruh.. Nimezickia Kwenye Kijewe Cha Kahawa
lemutus kishaliweka mbna tangu jana inst
Habari Za Muda Wana Jf Nina Habari Nimezisikia Chini Ya Kapeni Kuwa Bwana Mkubwa C.E.O Wa Dellina Mr Davis Mosha Amenunua Gari Aina Bugati? Je Ni Za Kweli Maana Huyu Bwana Mkubwa Kwa Magari Ya Nadhani Anaongoza
Hili gari analo yapata miaka mitatu sasa, alikuwa akija nalo kusali kanisani KKKT Mbezi beach.
Na Thead kama hii iliwekwa Celebrity forum tangu mwaka Jana.
jesusssss
unaeza ukaniambia kwa nini ni expensive