Billionea Davis Mosha

Billionea Davis Mosha

hata akinunua ndege, sisi yatuhusu nini kama bado watanzania wengi (pengine wakiwepo baadhi ya ndugu zake yeye mwenyewe) wanaishi katika lindi la umasikini? Yanayotuhusu sisi watanzania hatuyasemi, yanayowahusu watu binafsi ndo tuyavumishayo vijiweni!
kidoogo umeona mbali.
Ina maana gani kuishi kifahari,huku
umezungukwa na masikini wa kutosha?.
 
Hata niwe na mawe kama Bill Gates sinunui hichi kidude....kuna mandinga kibao ya maana.

Sana tu...mimi ukiniwekea vogue na hicho nachkua vogue

images
 
Sana tu...mimi ukiniwekea vogue na hicho nachkua vogue

images

Yah man, Hilo dude nali feel kinoma....hata Land Cruiser V8 la 2014 halioni ndani kwa hyo mashine.....kuna mzee moja wa kichagga namjua lilivyotoka tu analo alaf hana kelele wala nn nd very humble. Lazma usalimie kwa adabu *****....
 
Sasa hiki kigari mtu unaendeshaje.....barabara gani
Aaaaahahaa bongo hamna barabara za kuendeshea gari kama hili,hivi vitu vya mamtoni tu unakua na mupenzi mnatoka out au kwenye ufukwe vile barabara zilijengwa kwa kiwango - lami plus zege barabara haina mabonde kama hio morogoro road....
ANGALIZO:kuna magari mengine ukinunua bongo ni kujitesa tu kwa barabara hizi zisizo na viwango ni majanga imagine mvua ikinyesha haka kagari hakatoki teehteeh.
 
Aaaaahahaa bongo hamna barabara za kuendeshea gari kama hili,hivi vitu vya mamtoni tu unakua na mupenzi mnatoka out au kwenye ufukwe vile barabara zilijengwa kwa kiwango - lami plus zege barabara haina mabonde kama hio morogoro road....
ANGALIZO:kuna magari mengine ukinunua bongo ni kujitesa tu kwa barabara hizi zisizo na viwango ni majanga imagine mvua ikinyesha haka kagari hakatoki teehteeh.
Nikweli lakini hayatuhusu
 
Back
Top Bottom